ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHAkiungo :
ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA
ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA
Askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) anashikiliawa na jeshi la polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kukodisha silaha kwa wahalifu zinazotumika kwenye matukio ya ujambazi.
Akizungumza jana Agosti 14, kamanda wa polisi mkoani Morogoro, Wilbroad Mutafungwa alisema watuhumiwa 39 wa matukio hayo walihusishwa kwenye matukio ya uhalifu ikiwamo kukutwa na silaha za aina tano, bangi kete 200, bangi misokoto 66, risasi 27, pamoja na pombe aina ya gongo lita 58.
Mtuhumiwa Lumi Guya maarufu kama Mbulu (67) mkazi wa Kingolwira alikamatwa kwa tuhuma za kukodisha silaha yake aina ya Shot Gun anayoimiliki kihalali kwa watu wanaofanya uhalifu.
Kamanda huyo amesema mtuhumiwa huyo ni mwanajeshi mstaafu wa JWTZ na hushirikiana na Miraji Jumanne(28)mkazi wa Kichangani ambaye inadaiwa aliwahi kuwa askari polisi na kufukuzwa kutokana na vitendo visivyofaa wakishirikiana na wenzao sita ambao wote wanashikiliwa.
Watuhumiwa wengine walikamatwa katika matukio ya wizi, uuzaji gongo, wafugaji kulisha mifugo kwenye mashamba ya wakulima na wizi wa kutumia silaha.
Hivyo makala ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA
yaani makala yote ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/askari-mstaafu-mbaroni-kwa-tuhuma.html
Related Posts :
Katibu Mkuu wa CCM Akutana na Mabalozi wa Marekali, Algeria na Palestina leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Ofisini kwake, Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom,alipofika kwa aji… Read More...
Wazazi Tambueni Vipaji Vya Watoto Wenu.
Mtoto Lameck Charles (9) pamoja na mdogo wake Fredrick Charles (8)ni Watoto wa shule ya Msingi Inteki wakiwa wanaonyesha mchezo wa sarakasi… Read More...
KINANA AKUTANA NA MABALOZI WA MAREKANI, ALGERIA NA PALESTINA, LEO
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpa mkono Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom, baada ya kumfurahisha jamb… Read More...
CIPESA Wakutanisha Wadau wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, ICT Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Mello (wa pili kulia) akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kumalizika kwa kongamano l… Read More...
Msemaji wa Jeshi la Polisi Azungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbas, akimsikiliza Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP… Read More...
0 Response to "ASKARI MSTAAFU MBARONI KWA TUHUMA KUKODISHA SILAHA"
Post a Comment