ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO

ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO
kiungo : ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO

soma pia


ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO

 Mabingwa wa Mashindano ya Mpira wa Miguu yanayoandaliwa na CLOUDS MEDIA GROUP,ambayo ni NDONDO CUP. Leo 20August 2018 wamefika Ofisini kwa Mstahiki Meya  Boniface Jacob na kulikabidhi kombe hilo kama ishara ya Shukrani kwa Uongozi wa Manispaa ya Ubungo na Mshikamano na wanamichezo. Mstahiki Meya amehaidi ushirikiano wanamichezo wote wa Ubungo watakao kuwa wanaiwakilisha manispaa kwenye michuano mbalimbali.
Picha ya pamoja baada ya meya wa ubungo kupokea kombe.


Hivyo makala ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO

yaani makala yote ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/anzese-united-yakabidhi-kombe-kwa-meya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ANZESE UNITED YAKABIDHI KOMBE KWA MEYA UBUNGO"

Post a Comment