title : ALIYETAFUNA FEDHA ZA KIJIJI CHA KURUYA SASA AREJESHA MILIONI 1.7/-
kiungo : ALIYETAFUNA FEDHA ZA KIJIJI CHA KURUYA SASA AREJESHA MILIONI 1.7/-
ALIYETAFUNA FEDHA ZA KIJIJI CHA KURUYA SASA AREJESHA MILIONI 1.7/-
Na Frankius Cleophace Rorya
ALIYEKUWA Mtendaji wa Kijiji cha Kuruya Kata ya Komuge wilayani Rorya mkoani Mara Mwita Mangondi amerejesha fedha kiasi cha Sh.milioni 1.7 alizokuwa akidaiwa baada ya kuzitumia kinyume cha utaratibu.
Ambapo kutokana na tuhuma hizo alisimamishwa kazi na kupewa mwezi mmoja ili kurejesha fedha hizo za Serikali ya kijiji hichop.Akisoma mrejesho wa fedha hizo Kaimu Mtendaji wa kijiji cha Kuruya Athumani Juma amesema kuwa mtendaji huyo alisimamishwa kazi na kupewa muda ili kurejesha fedha hizo.Amesema tayari amerejesha kiasi cha Sh.1,700,000 na kubakizakiasi cha Sh.298,387 ambapo jumla alikuwa anadaiwa Sh.1,998,387.
Athumani ameongeza baada ya fedha hizo kurejeshwa tayari wametenga kiasi cha Sh. 1,000,000 kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Msingi kuruya.Huku kiasi kingine wakilipa wananchi ambao wanadaia serikali ya kijiji hicho.Aidha wananchi wa kijiji hicho wamedai kuwa kuna haja kubwa ya kuwekeza nguvu katika shule ya msingi mbatamo ili walimu waweze kupata vyumba vya kuishi.
“Walimu zaidi ya kumi na tano wanaishi nje ya shule kwanini hizo fedha zinazodaiwa zisipelekwe kwenye ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi mbatamo , wanafunzi hawana Madawati wala vyumba vya adarasa vya kutosha,” wamesema wananchi hao.

Kaimu Mtendaji wa kijiji cha Kuruya kata ya Komuge Athumani Juma akifafanua jinsi fedha hizo zilivyolipwa zaidi ya Mill1.7 kutoka kwa aliyekuwa Afiasa mtendaji wa kijiji hicho Mwita Mangondi ambaye alisimamishwa kazi baada ya upotevu wa fedha za serikali na kupewa Mwezi Mmoja aweze kulipa fedha hizo.
Wananchi wa kijiji cha Kuruya kata ya Komuge wilayani Rorya wakiwa katika mkutano wa hadhara kwa lengo la kupewa mrejesho kuhusu fedha hizo.

Mwenyekiti wa kijiji cha Kuruya Bernard Wambura akifafanua jambo katika mkutan huo ambapo amesema mwitikio wa vikao na Mikutano ya kijiji ni kidogo hivyo kuna haja kubwa ya kuanza kutekeleza sheria ndogo ya vijiji walizojiwekea ili wananchi washiriki Mikutano hiyo.

Mwalimu Mkuu shule ya Msingi KuruyaRobert John akifafanua changamoto ya ukosefu wa Matundu ya vyoo vya walimu jambo ambalo limesababisha walimu hao kutumia baadhi ya Matundu ya vyoo vya wanafunzi na wakati mwingine kutumia vyoo vya nyumb za walimu ambao wanaishi shuleni hapo.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>>>
ALIYEKUWA Mtendaji wa Kijiji cha Kuruya Kata ya Komuge wilayani Rorya mkoani Mara Mwita Mangondi amerejesha fedha kiasi cha Sh.milioni 1.7 alizokuwa akidaiwa baada ya kuzitumia kinyume cha utaratibu.
Ambapo kutokana na tuhuma hizo alisimamishwa kazi na kupewa mwezi mmoja ili kurejesha fedha hizo za Serikali ya kijiji hichop.Akisoma mrejesho wa fedha hizo Kaimu Mtendaji wa kijiji cha Kuruya Athumani Juma amesema kuwa mtendaji huyo alisimamishwa kazi na kupewa muda ili kurejesha fedha hizo.Amesema tayari amerejesha kiasi cha Sh.1,700,000 na kubakizakiasi cha Sh.298,387 ambapo jumla alikuwa anadaiwa Sh.1,998,387.
Athumani ameongeza baada ya fedha hizo kurejeshwa tayari wametenga kiasi cha Sh. 1,000,000 kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Msingi kuruya.Huku kiasi kingine wakilipa wananchi ambao wanadaia serikali ya kijiji hicho.Aidha wananchi wa kijiji hicho wamedai kuwa kuna haja kubwa ya kuwekeza nguvu katika shule ya msingi mbatamo ili walimu waweze kupata vyumba vya kuishi.
“Walimu zaidi ya kumi na tano wanaishi nje ya shule kwanini hizo fedha zinazodaiwa zisipelekwe kwenye ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi mbatamo , wanafunzi hawana Madawati wala vyumba vya adarasa vya kutosha,” wamesema wananchi hao.
Kaimu Mtendaji wa kijiji cha Kuruya kata ya Komuge Athumani Juma akifafanua jinsi fedha hizo zilivyolipwa zaidi ya Mill1.7 kutoka kwa aliyekuwa Afiasa mtendaji wa kijiji hicho Mwita Mangondi ambaye alisimamishwa kazi baada ya upotevu wa fedha za serikali na kupewa Mwezi Mmoja aweze kulipa fedha hizo.
Wananchi wa kijiji cha Kuruya kata ya Komuge wilayani Rorya wakiwa katika mkutano wa hadhara kwa lengo la kupewa mrejesho kuhusu fedha hizo.
Mwenyekiti wa kijiji cha Kuruya Bernard Wambura akifafanua jambo katika mkutan huo ambapo amesema mwitikio wa vikao na Mikutano ya kijiji ni kidogo hivyo kuna haja kubwa ya kuanza kutekeleza sheria ndogo ya vijiji walizojiwekea ili wananchi washiriki Mikutano hiyo.
Mwalimu Mkuu shule ya Msingi KuruyaRobert John akifafanua changamoto ya ukosefu wa Matundu ya vyoo vya walimu jambo ambalo limesababisha walimu hao kutumia baadhi ya Matundu ya vyoo vya wanafunzi na wakati mwingine kutumia vyoo vya nyumb za walimu ambao wanaishi shuleni hapo.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>>>
Hivyo makala ALIYETAFUNA FEDHA ZA KIJIJI CHA KURUYA SASA AREJESHA MILIONI 1.7/-
yaani makala yote ALIYETAFUNA FEDHA ZA KIJIJI CHA KURUYA SASA AREJESHA MILIONI 1.7/- Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala ALIYETAFUNA FEDHA ZA KIJIJI CHA KURUYA SASA AREJESHA MILIONI 1.7/- mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/aliyetafuna-fedha-za-kijiji-cha-kuruya.html
0 Response to "ALIYETAFUNA FEDHA ZA KIJIJI CHA KURUYA SASA AREJESHA MILIONI 1.7/-"
Post a Comment