WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI

WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI
kiungo : WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI

soma pia


WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI

NA TIGANYA VINCENT
KAMPUNI  na wadau mbalimbali Mkoani Tabora wameomba kusaidia ujenzi wa nyumba kwa ajili ya  Askari Polisi ambao wanakabiliwa na uhaba wa nyumba za kuishi na hivyo kulazimika kupanga uraini.

Ombi hilo limetolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri wakati akipokea msaada wa mifuko 600 za Saruji zenye thamani ya milioni 10,800,000/- uliotolewa na Kampuni ya  ununuzi wa Tumbaku ya Alliance One.

Alisema kuwa Askari wengi wa vyeo vya chini wanalazimika kupanga uraini jambo ambalo kwa kiasi kikubwa linapunguza ufanisi katika kupambana na uhalifu.

Mwanri alisema kwa mujibu taarifa za Askari  Polisi inaonyesha kuwa Polisi wapatao 853 wanaishi uraiani na wanaoishi kambini ni 327 jambo ambalo sio zuri katika kuleta ufanisi wa utendaji wa Jeshi hilo.

Alisema mpaka hivi sasa jitihada za awali za kuandaa michoro ya ramani za nyumba ambazo zinatarajiwa kujengwa na hivyo kuwaomba wafanyabiashara, Kampuni kujitokeza kuchukua kwa ajili kuwajengea kwa kadiri watakavoweza.

“Tuko kwenye kampeni ya kuwajengea vijana wetu Polisi nyumba za kuishi …tunaomba safari hii badala ya kutuletea vifaa kama vile saruji, nondo , bati mtusaidie kujenga nyumba za askari Polisi na mutukabidhi vifunguo mkishamaliza kujenga …asakari wetu wengi hawana nyumba na hivyo kulazimika kuishi uraiani…tunawaomba Alliance One, Kampuni nyingine na  wadau watakaoguswa na tatizo hilo la asakari wetu mutusaidie kwa hilo…makazi ya uhakika ya Polisi yatasaidia kuleta ufanisi “ alisisitiza.

 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akitoa ufafanuzi  jana kabla ya kupokea msaada wa mifuko 600 ya saruji yenye thamani ya shilingi 10.8   kutoka Kampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania.
 Mkurugenzi wa Uzalishaji wa ampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania David Mayunga akitoa maelezo mafupi  jana kabla ya kukabidhi msaada wa mifuko 600 ya Saruji kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa ajili ya ujenzi wa Hosteli za watoto wa kike na Wodi ya Wakinamama.
  Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Abel Busalama  akitoa maelezo mafupi  jana kabla ya kupokea msaada wa mifuko 600 ya Saruji kutoka Kampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania.
 Katibu  Tawala  Wilaya ya  Tabora Sweetbert  Nkuba akitoa maelezo mafupi  jana kabla ya kupokea msaada wa mifuko 600 ya Saruji kutoka Kampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akishirikiana na viongozi mbalimbali kupokea  msaada jana wa mifuko 600 ya Saruji kutoka Kampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI

yaani makala yote WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/wadau-mkoani-tabora-waombwa-kusaidia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WADAU MKOANI TABORA WAOMBWA KUSAIDIA UJENZI NYUMBA KWA AJILI YA MAKAZI YA POLISI"

Post a Comment