title : Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Waaza Zanzibar.
kiungo : Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Waaza Zanzibar.
Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Waaza Zanzibar.
Maandalizi wa Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Forodhani Zanzibar ukiaza ujenzi huo kwa kuwasili Wataalam wa Ujenzi Watano kutoka Nchi mbalimbali na kuungana na Wataalamu wazawa wa Zanzibar kusimamia ujenzi huo wa Ukarabati unaofanywa na Serikali ya Oman kwa gharama ya Dolla za kimarekani zaidi ya milioni Tano ili kuweza kukamilisha ukarabati huo mkubwa unaotarajiwa kuchukua miezi 18 hadi kumaliza kwake ujenzi huo.
Hivyo makala Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Waaza Zanzibar.
yaani makala yote Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Waaza Zanzibar. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Waaza Zanzibar. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/ujenzi-wa-ukarabati-wa-jengo-la-beit-al.html
0 Response to "Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Waaza Zanzibar."
Post a Comment