Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba

Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba
kiungo : Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba

soma pia


Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii,

Msemaji wa Idara ya Uhamiaji , Ally Mtanda ameainisha sifa za kuweza kupata hati ya kusafiria kwa njia ya kieletroniki.

Akizungumza na Michuzi Blog katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 42 ndani ya Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  (Sabasaba).Mtanda amesema sifa za muombaji pasipoti lazima adhibitishe uraia wake pamoja na safari yake kuwasilisha  nyaraka za viambatanisho mbalimbali.

Amesema kuwa viambatanisho hivyo cheti/Kiapo cha kuzaliwa muomabji au cheti cha uraia ,Cheti cha kuzaliwa cha mmoja wa wazazi au ushahidi wa mmoja wa wazazi.


Mtanda amesema namna ya kujaza fomu katika mfumo wa kielektroniki ni kuingia katika tovuti ya idara hiyo ambayo ni www.immigration.go.tz.
 Msemaji wa Idara ya Uhamiaji , Ally Mtanda akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea banda la Idara ya Uhamiaji  Uhamiaji katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 42 katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  (Sabasaba).
Mkaguzi Msaidizi wa Idara ya Uhamiaji , Neema Mwakilembe akitoa maelezo namna ya kupata hati ya kusafiria kwa njia ya kielektroniki kwa wananchi waliotembelea banda la Uhamiaji katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 42 katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  (Sabasaba).


Hivyo makala Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba

yaani makala yote Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/sifa-za-uombaji-wa-pasipoti-mpya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Sifa za uombaji wa pasipoti mpya zimeainishwa na Idara ya Uhamiaji kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya sabasaba"

Post a Comment