RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR

RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR
kiungo : RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR

soma pia


RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha  Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Hamid Mahmoud Hamid kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bw.Mabrouk Jabu Makame kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bw.Feteh Saad Mgeni kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bw.Makame Juma Pandu kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Dk.Kombo Khamis Hassan kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar, ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha   Jaji Khamis Ramadhan Abdalla  kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bibi Jokha  Khamis Makame kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika  leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)akiwa katika Picha ya Pamoja na Viongozi,Wajumbe wa Tume mpya ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria
Baadhi ya Viongozi na Wananchi mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Wajumbe wa  Tume mpya ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe, Said Hassan Said akisalimiana na Wajumbe wa  Tume mpya ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)  kabla ya kuapishwa leo katika hafla iliyofanyika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar  na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
(Picha na Ikulu)


Hivyo makala RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR

yaani makala yote RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/rais-dk-shein-awaapisha-wajumbe-wa-tume.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME MPYA YA UCHAGUZI ZANZIBAR"

Post a Comment