title : MATAMASHA YA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YAENDELEA WILAYANI SERENGETI
kiungo : MATAMASHA YA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YAENDELEA WILAYANI SERENGETI
MATAMASHA YA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YAENDELEA WILAYANI SERENGETI
Na Frankius Cleophace Serengeti
SHIRIKA la Righ to Play linaendelea na matamasha katika kata za wilayani Serengeti mkoani Mara kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii ili kuondokana na masuala ya ukatili wa ijinsia dhidi ya watoto.
Elimu hiyo inayotolewa inazungumzia kupiga vita ukeketaji kwa mtoto wa Kike, mimba za utotoni, vipigo kwa watoto, kuchomwa moto pamoja na kuhakikisha wanapata haki ya elimu bila kubagua jinsia.
Akizungumzia kuhusu tamasha lililofanyika kata ya Uwanja wa Ndege, Leah Kimaro kutoka Shirika la RIGHT TO PLAY amesema lengo la Shirika ni kuhakikisha wanabadili mitazamo ya jamii ili kuondokana na mila na desturi ambazo zimepitwa na wakati ili kumkomboa mtoto wa kike ambaye kwa Serengeti amekuwa akiachwa nyuma kutokana na mila hizo.
Ofisa Maendeleo Jamii Kata ya Uwanja wa Ndege Josepha Dismas ameitaka jamii kuendelea kuthamini watoto wote bila ubaguzi wowote na kuahidi kuwa wao kama Serikali wataendelea kushirikiana na mashirika ili kuipatia jamii elimu iliyokusudiwa.
“Hii elimu inayotolewa kupitia michezo mbalimbali ukiwemo mpira wa miguu kwa wasichana jamii inazidi kuamini kuwa Mtoto wa kike anaweza bila kuwezeshwa."Hivyo sasa ni jukumu letu kama viongozi ngazi za jamii kushiriki kikamilifu na kuzidi kulaani Vikali ukatili unaofanyika kwa Watoto,” amesema Josepha.
Pia Ofisa Maendeleo ameongeza kuwa michezo hiyo imezidi kukusanya watoto wengi na maudhurio kuongezeka mashuleni,hivyo wazazi wameombwa kuruhusu watoto wao ili washiriki michezo.
SHIRIKA la Righ to Play linaendelea na matamasha katika kata za wilayani Serengeti mkoani Mara kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii ili kuondokana na masuala ya ukatili wa ijinsia dhidi ya watoto.
Elimu hiyo inayotolewa inazungumzia kupiga vita ukeketaji kwa mtoto wa Kike, mimba za utotoni, vipigo kwa watoto, kuchomwa moto pamoja na kuhakikisha wanapata haki ya elimu bila kubagua jinsia.
Akizungumzia kuhusu tamasha lililofanyika kata ya Uwanja wa Ndege, Leah Kimaro kutoka Shirika la RIGHT TO PLAY amesema lengo la Shirika ni kuhakikisha wanabadili mitazamo ya jamii ili kuondokana na mila na desturi ambazo zimepitwa na wakati ili kumkomboa mtoto wa kike ambaye kwa Serengeti amekuwa akiachwa nyuma kutokana na mila hizo.
Ofisa Maendeleo Jamii Kata ya Uwanja wa Ndege Josepha Dismas ameitaka jamii kuendelea kuthamini watoto wote bila ubaguzi wowote na kuahidi kuwa wao kama Serikali wataendelea kushirikiana na mashirika ili kuipatia jamii elimu iliyokusudiwa.
“Hii elimu inayotolewa kupitia michezo mbalimbali ukiwemo mpira wa miguu kwa wasichana jamii inazidi kuamini kuwa Mtoto wa kike anaweza bila kuwezeshwa."Hivyo sasa ni jukumu letu kama viongozi ngazi za jamii kushiriki kikamilifu na kuzidi kulaani Vikali ukatili unaofanyika kwa Watoto,” amesema Josepha.
Pia Ofisa Maendeleo ameongeza kuwa michezo hiyo imezidi kukusanya watoto wengi na maudhurio kuongezeka mashuleni,hivyo wazazi wameombwa kuruhusu watoto wao ili washiriki michezo.
Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii kata ya Uwanja wa Ndege Josepha Dismas akikabidhi Kapteni wa Timu ya Senta FC baada ya kushinda Timu ya Burunga FC.
Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii kata ya Uwanja wa Ndege Josepha Dismas akikabidho Kombe kapteni wa Timu ya Vilaza Fc baada ya kushinda Timu ya Vibonde FC.
Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii kata ya Uwanja wa Ndege Josepha Dismas akikabidhi Zawadi ya Madaftari kwa Wanafunzi hao walioshiriki Vyema katika Michezo iliyofanyika Maeneo hayo.
Hivyo makala MATAMASHA YA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YAENDELEA WILAYANI SERENGETI
yaani makala yote MATAMASHA YA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YAENDELEA WILAYANI SERENGETI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MATAMASHA YA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YAENDELEA WILAYANI SERENGETI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/matamasha-ya-kutoa-elimu-ya-kupinga.html
0 Response to "MATAMASHA YA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YAENDELEA WILAYANI SERENGETI"
Post a Comment