BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA

BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA
kiungo : BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA

soma pia


BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA

Na Emmanuel Massaka, Globu ya jamii

BENKI ya Watu wa Zanzibar(PBZ),leo imefanya Sherehe ya kutimiza miaka 52 tangu kuanzishwa kwake ambapo uongozi wa benki hiyo umewaomba Watanzania kuhakikisha wanafungua akaunti kwao. 

Pia benki hiyo imewahakikishia Watanzania kuendelea kutoa huduma bora kutoka wa watumishi ambao wanaifanya kazi yao kwa weledi mkubwa.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam leo na Meneja Mkaguzi wa ndani wa Benk ya Watu  wa Zanzibar wa tawi la Tazara, Suleiman Ali Seleiman  baada ya kukata keki katika hafla ya kutimiza miaka hiyo 52 tangu kuazishwa kwake.

Akizungumza leo na Blogu ya jamii Suleiman  ametoa mwito kwa wananchi kujiunga na benki hiyo ili kurahisisha shughulizao na hasa zinazohusu huduma za kibenki.
 Picha ya pamoja
 Meneja wa mkaguzi wa ndani wa Benk ya watu wa Zanzibar tawi la Tazara Suleiman Ali Suleiman akimlisha keki mteja katika hafla ya miaka 52 tangu kuazishwa kwake.
 Meneja wa mkaguzi wa ndani wa Benk ya watu wa Zanzibar tawi la Tazara Suleiman Ali Suleiman akimlisha keki Meneja tawi ta Tazara,Fatma Khamis Mohad leo katika hafla ya kuazimisha miaka 52.
Meneja wa mkaguzi wa ndani wa Benk ya watu wa Zanzibar tawi la Tazara Suleiman Ali Suleiman akimlisha keki mteja katika hafla ya miaka 52 tangu kuazishwa kwake.


Hivyo makala BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA

yaani makala yote BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/benki-ya-watu-wa-zanzibar-yatimiza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BENKI YA WATU WA ZANZIBAR YATIMIZA MIAKA 52 TANGU KUANZISHWA KWAKE,YATOA NENO KWA WATANZANIA"

Post a Comment