MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOAkiungo :
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyekiti wa kamati ya Maafa mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kamati ya Maafa ya mkoa wa Kilimanjaro,uzinduzi uliofanyika katika ukumbi Mdogo wa ofisi ya Mkoa.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya Maafa ya Mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa huo wakati akiitoa katika uzinduzi rasmi wa kamati hiyo.
Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro Mhandisi Aisha Amour akizungumza wakati wa kikao hicho.
Wakuu wa wilaya za Siha,Onesmo Buswelu(kushoto) ,Wilaya ya Same Rosemery Senyamule(katikati) na Aron Mbogho wa wilaya ya Mwanga wakiwa katika kikao hicho ambao wao pia ni wajumbe
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia jambo wakati wa uzinduzi wa kamati ya maafa ya mkoa huo.
Mkuu wa wilaya ya Siha,Onesmo Buswelu akichangia jambo wakati wa kikao hicho cha uzinduzi wa kamati ya maafa ya mkoa wa Kilimanjaro.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya Maafa ya mkoa wa Kilimanjaro iliyozinduliwa rasmi .
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini .
serikali mkoani Kilimanjaro imezindua kamati ya Maafa ya mkoa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sheria namba 7 ya mwaka 2015 kwa lengo la kumshauri Mkuu wa mkoa kuhusu masuala ya usimamizi wa maafa na kuratibu shughuli za dharura miongoni mwa taasisi za kisekta za serikali za mitaa.
Mbali na majukumu hayo kamati hiyo pia itakuwa na wajibu wa kutafuta rasilimali kwa ajili ya usimamizi wa maafa katika mkoa,kufungamanisha mfumo wa tahadhari ya awali katika mkoa na kuwezesha uanzishaji wa mfumo wa takwimu na taarifa za maafa za mkoa kwa kushirikiana na wakala.
Akizindua kamati hiyo inayoundwa na wajumbe kutoka taasisi mbalimbali zikiwemo za kidini,wafanyabiashara ,Wataalamu mbalimbali pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalma ya mkoa ,Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Anna Mghwira alisema kwa kipindi kirefu mkoa haujawa na kamati ya maafa iliyo hai ,inayojitambua na kuwajibika ipasavyo.
“Sheria hii inatafsriri maafa kwamba ni ya kimkoa kama zaidi ya wilaya moja ndani ya mkoa imeathirika au kama wilaya,mji au manispaa husika haina uwezo wa kushughulikia tatizo hilo au kama tatizo hilolimehusisha wilaya zinazopakana ndani ya mkoa “alisema Mghwira.
Mghwira alitoa maelekzo kwa wakuu wa wilaya kuhakikisha kamati za maafa za wilaya ,kata na vijiji zinaundwa na kusimamiwa ili zitekeleze majukumu yake ipasavyo kwa mujibu wa sheria hiyo huku akiwaagiza wakulurugenzi kuwawezesha wakuu wa wilaya kuandaa utaratibu wa kutoa maelekezo kwa kamati a wilaya ,kata na vijiji .
“Hakuna haja ya kusubiri maafa yatokee ndiyo tufanye maandalizi ,tuanze sasa,kwa taarifa nilizonazo mvua bado zinaendelea ,twendeni katika maeneo yanayotuzunguka kutoa tahadhari za awali kwa wananchi wote wanaooonekana kupata madhara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha”alisema Mghwira.
Mwisho.
Hivyo makala MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA
yaani makala yote MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/mkuu-wa-mkoa-wa-kilimanjaro-azindua_19.html
Related Posts :
WAZIRI MKUU AHIMIZA LINDI WAJIPANGE MAANDALIZI YA BARAZA LA MAULID KITAIFA
Mwambawahabari
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wana-Lindi na wana-Ruangwa watumie fursa zilizopo ili kufanikisha maandalizi ya she… Read More...
VIGUTA YAWAPIGA TAFU VIJANA PIKIPIKI 15 KIBAHA
Meneja wa Vicoba group union Tanzania (VIGUTA)Mkoani Pwani ambae pia operesheni Meneja Taifa ,Iddi Kanyallu akimkabidhi mwenyekiti wa CHAMA… Read More...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itawashughulikia watu wote watakaokwamisha malipo ya wakulima wa zao la korosho. “Hatutamuacha mtu yeyote atakayesababisha wakulima kuchelewa kulipwa fedha zao. Tutawakamata wote na kuwachukulia hatua stahiki.” Ametoa kauli hiyo jana (Jumapili, Novemba 5, 2017) alipozungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Mbekenyera wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Waziri Mkuu alisema wakulima hao ni lazima walipwe fedha zao kwa wakati na asitokee mtu wa kuzitamani fedha hizo. “Mkulima amelima mikorosho mwenyewe, ameokotoa na kukodoa mwenyewe wao wamepewa dhamana ya kuziuza, hivyo wahakikishe wanawapelekea fedha zao na wala wasizitamani.” Pia Waziri Mkuu amewataka viongozi wa vyama vya Ushirika vya Msingi wahakikishe mkulima hakosi sh. 3,500 katika kilo moja ya korosho atakayoiuza baada ya kukatwa michango. Alisema bei ya juu ya korosho katika minada ya mkoa wa Lindi sh. ni 3,970 na ya chini sh. 3,800. “Vyovyote itakavyokuwa mkulima hawezi kukosa sh. 3,500, viongozi wa AMCOS mnisikie.” Waziri Mkuu alisema hatua hiyo inatokana na kuongezeka kwa bei ya zao la korosho pamoja na kupungua kwa makato ya mkulima ambapo kwa sasa hayazidi sh. 300 katika kilo moja ya korosho.
mwambawahabari
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itawashughulikia watu wote watakaokwamisha malipo ya wakulima wa zao la koros… Read More...
Wateja wa Tigo mjini Morogoro waliojishindia Tiketi za kushuhudia Tamasha la Tigo Fiesta
Wasanii wa Muziki wa kizazi kipya, Roma Mkatoliki (kulia) na Zaiid wakimkabidhi mteja wa Tigo, Francis Wamonje (katikati) zawadi ya tiketi… Read More...
Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo
Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kwamba uchaguzi mkuu nchini humo sasa utafanyika Desemba 2018.
Hatua h… Read More...
0 Response to "MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA"
Post a Comment