Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo

Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo
kiungo : Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo

soma pia


Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo

Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kwamba uchaguzi mkuu nchini humo sasa utafanyika Desemba 2018.

Hatua hiyo hata hivyo haijaufurahisha upinzani ambao unataka Rais Joseph Kabila aondoke madarakani.

Uchaguzi ulipangiwa kufanyika mwaka huu chini ya makubaliano yaliyoafikiwa mwaka jana, lakini tume ya uchaguzi imechelewa kuandaa uchaguzi.

Awali, ilikuwa imetangaza kwamba uchaguzi unaweza tu kufanyika mwaka 2019.

Lakini sasa tume hiyo imetangaza kwamba uchaguzi wa rais, wabunge na viongozi wa serikali za majimbo utafanyika mnamo 23 Desemba, 2018.



Hivyo makala Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo

yaani makala yote Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/tarehe-mpya-ya-uchaguzi-wa-urais.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Tarehe mpya ya uchaguzi wa urais yatangazwa DR Congo"

Post a Comment