Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar.

Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar.
kiungo : Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar.

soma pia


Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar.


MASHINDANO ya ngumi kombe la Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam , Isaya Mwita yamemalizika jana huku mabingwa watetezi ambao ni mabondia wa  JKT waliibuka kidedea na hivyo kuchukua kombe kwa mara ya pili mfululizo.
Mpambano huyo wa aina yake ulimalizika jana katika uwanja wa ndani wa Taifa ambapo Meya Mwita alikabizi zawadi kwa mshindi wa kwanza ambayo ni Makao makuu ya JKT, iliyopata pointi  10.
Mshindi wa pili katika mashindano hayo  ni timu  ya mkoa wa Dar es Salaam ( mzizima) chini ya Kocha  Haji Fera ambapo walipata pointi nane,  huku  mshindi wa tatu  ikiwa ni Halmashauri ya   Manispaa ya Ubungo.

Awali Meya Mwita alisema kuwa michezo ni jambo muhimu kutokana na kwamba huwezesha vibaya kupata ajira, kuwaweka  pamoja na kwamba katika uongozi wake jijini hapa atahakikisha mchezo wangumi unapewa kipaumbele.
Meya Mwita alifafanua kuwa kwakipindi kirefu mchezo huo ulisahaulika na kwamba jiji limeanza kujenga kituo ambacho kitatumika kwa ajili ya mashindano hayo.

"Michezo ni ajira, michezo ni burudani, utakumbuka juzi hapa tumefanya vibaya kwenye jumuiya ya madola, mtakubaliana na mimi kwamba mchezo huu wa ngumi ulisahaulika, lakini uliwahi kutuletea sifa kubwa katika nchi yetu.
Sasa nijukumu letu kama viongozi, kuungana na wadau wamichezo kufanya maandalizi ya kutosha ili turudi kwenye mstari tuliokuwa mara ya kwanza"alisema Meya Mwita.
Hata hivyo Meya Mwita aliwapongeza mabodia walioshiriki kwenye mpambano huo nakuahidi kuwa atatua changamoto zinazo wakabili sambamba na kuhakikisha kuwa wanashiriki kwenye mashindano nje ya nchi.




Hivyo makala Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar.

yaani makala yote Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/mabondia-wa-jkt-washinda-kombe-la-meya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Mabondia wa JKT washinda Kombe la Meya Mwita , mwenyewe atoa neno kwa wananchi wa jiji la Dar."

Post a Comment