Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira

Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira
kiungo : Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira

soma pia


Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira

MANISPAA ya Ilala jijini Dar es Salaam imeshauriwa kuanzisha klabu za mazingira katika shule zake za msingi za manispaa hiyo ili wanafunzi wafundishwe umuhimu wa utunzaji mazingira. 

Ushauri huo umetolewa Dar es Salaam jana na Ofisa Tawala wa Wilaya ya Ilala Jabiri Makame wakati wa kampeni ya  upandaji miti shule msingi Yongwe iliyopo Chanika Ilala.

"Naomba Idara ya Mazingira manispaa ya Ilala muunde vilabu vya mazingira katika shule zenu za msingi ili wanafunzi wafundishwe umuhimu wa utunzaji wa mazingira"amesema Makame. Makame amesema suala la utunzaji wa mazingira ni letu sote hivyo inatakiwa tuweke mikakati mbalimbali jinsi ya uendelezaji na utunzaji wa mazingara. 

Afafanua ikiwekwa mikakati endelevu ya kuanzisha vilabu mashuleni wanafunzi wakafahamu jinsi  utunzaji mazingira serikali itakuwa imefaidika jamii nzima itapata elimu hiyo. Amewapongeza Benki ya Standard Chartered Tanzania kwa juhudi zao kwa kuwekeza shule za msingi hasa upande wa mazingira na kuwataka wadau wengine Kushirikia na serikali. 

 Amesema utunzaji wa mazingira unafaida nyingi nchi yetu ikiwemo ya kuepuka jangwa,faida nyingine miti huleta kivuli na miti mingine ya matunda. Kwa upande wake Ofisa Elimu Msingi Ilala Elzabeth Thomas amesema Standard Chartered wameanza kampeni ya kusaidia shule za Msingi Ilala toka mwaka 2014  mpaka sasa wameweza kupanda miti 3300.

Amesema kuanzia mwaka 2014 hadi sasa wamekuwa wakishirikiana katika utunzaji wa mazingira  katika shule mbalimbali. Amesema awali kabla kupanda miti shule ya Yongwe kampeni hiyo ilianzia shule ya msingi Majani ya Chai, Pugu Kajiungeni, Buyuni, Kigogo Freshi, Viwege na Uhuru Mchanganyiko. 

Kwa upande wake Ofisa wa Benki hiyo  Isema Bilali amesema benki hiyo ilianza shughuli zake nchini mwaka 1917  na kwamba upandaji miti una faida nyingi ikiwemo kutuwezesha kupata mvua,ujenzi,inatupa chakula inazuia mmomonyoko wa udongo.  
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Yongwe Kata ya Chanika wakiwa katika wiki ya mazingira na upandaji miti shuleni kwao Dar es Salaam jana Picha na Heri Shaaban


Hivyo makala Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira

yaani makala yote Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/ilala-watakiwa-kuanzisha-klabu-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Ilala watakiwa kuanzisha klabu za mazingira"

Post a Comment