Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18

Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18
kiungo : Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18

soma pia


Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18

Timu 28 zinatarajia kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18 inayotarajia kuanza Mei 1,2018 mpaka Mei 16,2018 kwenye vituo vinne. Vituo vitakavyotumika ni Geita, Singida, Rukwa na Kilimanjaro. 

Makundi ya RCL yatakuwa na timu saba kila kundi yakipangwa kwa kufuata Jiografia ya kikanda katika soka. 

Mwisho wa kuwasilisha jina la Bingwa wa Mkoa ilikua Machi 30, 2018 ambapo mikoa yote 26 iliweza kutimiza ndani ya muda huo uliowekwa na TFF.

Mikoa iliyothibitisha mabingwa wao wa RCL watakaocheza ligi hiyo msimu huu :

1. Dar Es salaam (Karume Market, Ungindoni FC, Temeke Squard)

2. Pwani (Stand FC)

3. Morogoro (Moro Kids)

4. Dodoma (Gwassa Sports Club)

5. Singida (Stand Dortmund)

6. Tabora (Tabora Football Club)

7. Kigoma (Red Stars FC)

8. Geita ( Gipco FC)

9. Kagera (Kamunyange FC)

10. Mwanza (Fathom Sports Club)

11. Mara (Nyamongo Sports Club)

12. Shinyanga (Zimamoto FC)

13. Simiyu (Ambassador FC)

14. Arusha (Bishoo Durning Sports)

15. Manyara (Usalama Sports Club)

16. Kilimanjaro (Uzunguni FC)

17. Tanga (Sahare All Stars)

18. Lindi (Majimaji Rangers)

19. Mtwara (Mwena FC)

20. Ruvuma (Black Belt)

21. Njombe (Kipagalo FC)

22. Songwe (Migombani FC)

23. Mbeya (Tukuyu Stars)

24. Iringa (Iringa United)

25. Rukwa (Laela FC

26. Katavi (Watu FC)

27.Manyara ()Usalama FC)

Mikoa ya Rukwa, Ruvuma na Tabora  kuna malalamiko ya vilabu kupinga mabingwa wa mikoa, malalamiko ambayo TFF inaendelea kuyafanyia kazi.

Kundi A (GEITA)

Geita, Kagera, Mara, Mwanza,Shinyanga, Simiyu, Dar 2

Kundi B (RUKWA)

Rukwa,Katavi, Kigoma, Tabora, Ruvuma, Songwe, Mbeya 

Kundi C (SINGIDA)

Singida,Dodoma,Iringa, Njombe, Dar 3, Lindi, Mtwara 

Kundi D (KILIMANJARO)

Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Manyara, Pwani, Morogoro, Dar 1

IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA TFF


Hivyo makala Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18

yaani makala yote Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/timu-28-kushiriki-ligi-ya-mabingwa-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18"

Post a Comment