title : KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI NDOGO TUME YA UTUMISHI WA BUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI.
kiungo : KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI NDOGO TUME YA UTUMISHI WA BUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI.
KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI NDOGO TUME YA UTUMISHI WA BUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI.
Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Tume ya Utumishi wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Susan Nsambu (kushoto) akizungumza na Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) pale ugeni kutoka Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki ulipomtembelea leo tarehe 7 MachI, 2018 ofisini kwake Mjini Dodoma. Kwa lengo la kubadilishana uzoefu kwenye mambo ya ajira ya wafanyakazi, nidhamu, maendeleleo na maslahi ya wafanyakazi

Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Tume ya Utumishi wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Susan Nsambu (kushoto) pale ugeni huo ulipomtembelea leo tarehe 7 Machi, 2018 ofisini kwake Mjini Dodoma, kwa ajili kubadilishana uzoefu kwenye mambo ya ajira ya wafanyakazi, nidhamu, maendeleleo na maslahi ya wafanyakazi.
Wajumbe wa kamati ndogo ya Tume ya Utumishi wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kati yao na Katibu wa Bunge, pamoja na Baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Bunge kikilenga kubadilishana uzoefu kwenye mambo ya ajira ya wafanyakazi, nidhamu, maendeleleo na maslahi ya wafanyakazi. Kutoka kushoto ni Mhe. Leontine Nzeyimana, Mhe. Aden Abdikadir (wa pili kushoto), Mhe. Dkt. Anne Leonardo (watatu kushoto) na Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge, Ndg. Nenelwa Wankanga (kulia)
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Tume ya Utumishi wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Susan Nsambu (kushoto) pale ugeni huo ulipomtembelea leo tarehe 7 Machi, 2018 ofisini kwake Mjini Dodoma, kwa ajili kubadilishana uzoefu kwenye mambo ya ajira ya wafanyakazi, nidhamu, maendeleleo na maslahi ya wafanyakazi.
Wajumbe wa kamati ndogo ya Tume ya Utumishi wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kati yao na Katibu wa Bunge, pamoja na Baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Bunge kikilenga kubadilishana uzoefu kwenye mambo ya ajira ya wafanyakazi, nidhamu, maendeleleo na maslahi ya wafanyakazi. Kutoka kushoto ni Mhe. Leontine Nzeyimana, Mhe. Aden Abdikadir (wa pili kushoto), Mhe. Dkt. Anne Leonardo (watatu kushoto) na Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge, Ndg. Nenelwa Wankanga (kulia)
Wajumbe wa kamati ndogo ya Tume ya Utumishi wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki walioongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Susan Nsambu (watatu kulia) wakiwa katika kikao cha pamoja na baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Bunge walioongozwa na Katibu wa Bunge, Mhe. Stephen kagaigai (wa pili kulia) kwa lengo la kubadilishana uzoefu kwenye mambo ya ajira ya wafanyakazi, nidhamu, maendeleleo na maslahi ya wafanyakazi.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki ulioongozwa na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Tume ya Utumishi wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Susan Nsambu (watatu kulia) pale ugeni huo ulipomtembelea leo tarehe 7 Machi, 2018 ofisini kwake Mjini Dodoma, kwa ajili ya kubadilishana uzoefu kwenye mambo ya ajira ya wafanyakazi, nidhamu, maendeleleo na maslahi ya wafanyakazi
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Hivyo makala KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI NDOGO TUME YA UTUMISHI WA BUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI.
yaani makala yote KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI NDOGO TUME YA UTUMISHI WA BUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI NDOGO TUME YA UTUMISHI WA BUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/katibu-wa-bunge-akutana-na-kuzungumza.html
0 Response to "KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI NDOGO TUME YA UTUMISHI WA BUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI."
Post a Comment