WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR

WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR
kiungo : WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR

soma pia


WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR

 Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji, Mustafa Aboud Jumbe akisisitiza jambo katika Mkutano wa mashirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji(SMZ) na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya Uchukuzi (SMT) uliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Ocean View Zanzibar. Kushoto ni  Katibu Mkuu  Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano(SMT), Dkt. Leornard Chamuriho.
 Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria katika Mkutano wa mashirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji(SMZ) na Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya Uchukuzi (SMT)uliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Ocean View Zanzibar.
 Katibu Mkuu  Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano(SMT), Dkt, Leornard Chamuriho, akifafanua baadhi ya hoja zilizotolewa  katika Mkutano wa mashirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji(SMZ) na Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya Uchukuzi (SMT)uliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Ocean View Zanzibar.
Katibu Mkuu Wzara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji, Mustafa Aboud Jumbe na  Katibu Mkuu  Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano(SMT), Dkt. Leornard Chamuriho wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa  Mkutano wa mashirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji(SMZ) na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya Uchukuzi(SMT) uliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Ocean View Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Hivyo makala WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR

yaani makala yote WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/wizara-za-ujenzi-za-zanzibar-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIZARA ZA UJENZI ZA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR"

Post a Comment