title : TAZAMA SHEREHE ZA MKOMAULA KABILA LA WAYAO MKOANI RUVUMA
kiungo : TAZAMA SHEREHE ZA MKOMAULA KABILA LA WAYAO MKOANI RUVUMA
TAZAMA SHEREHE ZA MKOMAULA KABILA LA WAYAO MKOANI RUVUMA

Kulia ni Sultani Mataka ambaye ni sultani wa tano wa kabila la wayao Tanzania akisalimiana na Mwandishi wa Ruvuma TV Nancy Mbogoro .
………………….
Kupitia kipindi cha Utalii cha Talii na Ruvuma TV tumekuandalia kipindi maalum kinachohusu Sherehe za asili za kabila la Wayao katika mkoa wa Ruvuma, Sherehe hizi zinakwenda kwa jina la Mkomaula, Sherehe hizi hufanyika kila mwaka na kuongozwa na Sultan Mataka ambaye ni Sultan wa tano wa kabila la Wayao Tanzania. Hii hapa chini Video yake.
Hivyo makala TAZAMA SHEREHE ZA MKOMAULA KABILA LA WAYAO MKOANI RUVUMA
yaani makala yote TAZAMA SHEREHE ZA MKOMAULA KABILA LA WAYAO MKOANI RUVUMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TAZAMA SHEREHE ZA MKOMAULA KABILA LA WAYAO MKOANI RUVUMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/tazama-sherehe-za-mkomaula-kabila-la.html
0 Response to "TAZAMA SHEREHE ZA MKOMAULA KABILA LA WAYAO MKOANI RUVUMA"
Post a Comment