title : DC MTWARA AFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI MJINI MTWARA
kiungo : DC MTWARA AFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI MJINI MTWARA
DC MTWARA AFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI MJINI MTWARA
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Bw. Evod Mmanda akifungua kongamano la wajasiriamali katika ukumbi wa chuo cha ualimu Mtwara lililofadhiliwa na shirika la VSO. Lengo la kongamano hilo ni kuwajengea wajasiriamali hao uwezo na utayari wa kukamata fursa zitakazotokana na ugunduzi wa gesi unaoendelea katika mkoa huo na ukanda wa mikoa ya kusini kwa ujumla wake Kongamano hilo limefanyika leo 20.3.2018.
Wawasiliamali hao wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Mtwara Evod Mmanda hayupo pichani wakati akifungua kongamano la kuwajengea uwezo linalofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu mjini Mtwara.
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Bw. Evod Mmanda akiwa katika picha ya pamoja na wajasiriamali hao mara baada ya kufungua kongamano hilo mjini Twara leo.
Hivyo makala DC MTWARA AFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI MJINI MTWARA
yaani makala yote DC MTWARA AFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI MJINI MTWARA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DC MTWARA AFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI MJINI MTWARA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/dc-mtwara-afungua-kongamano-la.html
0 Response to "DC MTWARA AFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI MJINI MTWARA"
Post a Comment