Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja

Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja
kiungo : Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja

soma pia


Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja

 Sehemu ya Matrekta yaliyonunuliwa na Serikali  ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Klimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi. Serikali imenunua jumala ya matrekta 20 ili kuweza kumsaidia mkulima kuondokana na ukulima wa zanani ambao hauna tija. matrekta hayo aina ya new holland na mahindra yamegharimu jumla ya shilingi bilioni moja, milioni mia nne sabini na sita,laki tatu sitini  tano elfu mia mbili na hamsini.
 Waziri wa Kilimo,Maliasili,Mifigo na Uvuvi Mh. Rashid Ali Juma  akisalimiana mwakilishi wa kampuni ya Mahindra baada ya kukabidhiwa Matrekta 20
Waziri wa Kilimo,Maliasili,Mifigo na Uvuvi Mh. Rashid Ali Juma akijaribu moja ya matrekta yaliyokabidhiwa kwa Serikali hivi karibuni


Hivyo makala Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja

yaani makala yote Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/serikali-yapokea-matrekta-20.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Serikali yapokea matrekta 20 yaliyonunuliwa kwa gharama ya zaidi ya Bilioni moja"

Post a Comment