MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA

MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA
kiungo : MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA

soma pia


MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha China Profesa Sun Qixin, akimuonyesha Balozi wa China hapa nchini Wang Ke, moja ya picha katika Kituo cha Mafunzo cha kupunguza Umasikini kijijini, katika Kijiji cha Mtego wa Simba, Mikese mkoani Morogoro, wakati wa uzinduzi wa Mradi wa pamoja  wa Tanzania na China wa kuongeza kuzalishaji wa tija wa zao la mahindi, jana katika kijiji hicho. Mradi huo unaendeshwa kwa ushirikiano wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro na Chuo hicho Kikuu cha Kilimo cha China. Nyuma yao ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Morogoro Regina Chonjo ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Morogoro.
 Kaimu Mkuu wa mkoa wa Morogoro ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Regina Chonjo, akisalimiana na Profesa Wu Jiu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha China alipowasili kwenye uzinduzi wa Mradi wa pamoja  wa Tanzania na China wa kuongeza kuzalishaji wa tija wa zao la mahindi, jana katika kijiji  cha Mtego wa Simba mkoani Morogoro. 
 Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro Clinfford Tandari akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa pamoja  wa Tanzania na China wa kuongeza kuzalishaji wa tija wa zao la mahindi, uliofanyika jana katika kijiji cha Mtego wa Simba mkoani humo.
 Wananchi wakiwa kwenye uzinduzi wa Mradi wa pamoja  wa Tanzania na China wa kuongeza kuzalishaji wa tija wa zao la mahindi, uliofanyika jana katika kijiji cha Mtego wa Simba mkoani Morogoro. 
 Kaimu Mkuu wa mkoa wa Morogoro ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Regina Chonjo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa pamoja  wa Tanzania na China wa kuongeza kuzalishaji wa tija wa zao la mahindi, uliofanyika jana katika kijiji cha Mtego wa Simba mkoani humo.
 Mkuu wa Chuo cha Kilimo cha China Profesa Sun Qixin akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa pamoja  wa Tanzania na China wa kuongeza kuzalishaji wa tija wa zao la mahindi, uliofanyika jana katika kijiji cha Mtego wa Simba Mikese mkoani Morogoro.



Hivyo makala MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA

yaani makala yote MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/mpango-wa-pamoja-tanzaniachina-kuongeza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MPANGO WA PAMOJA TANZANIA,CHINA KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA MAHINDI MKOANI MOROGORO WAZINDULIWA"

Post a Comment