title : Mimba na ndoa za utotoni zafinya fursa ya mtoto
kiungo : Mimba na ndoa za utotoni zafinya fursa ya mtoto
Mimba na ndoa za utotoni zafinya fursa ya mtoto
Na Anthony Ishengoma--Tanga
Hali ya mimba za utotoni hapa Nchini imeendelea kuongezeka na kumnyima fursa mtoto kike kupata haki yake ya msingi kuendelezwa.
Akiongea na wanafunzi kutoka shule sita za jiji la Tanga katika washa ya siku moja kwa wanafunzi hao kuhusu kampeni ya kutokomeza mimba na ndoa za utotoni Afisa Maendeleo ya Jamii Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Bwana Mathias Haule amesema Elimu ndio njia sahihi kutimiza ndoto za mtoto wa kike.
Hali ya mimba za utotoni hapa Nchini imeendelea kuongezeka na kumnyima fursa mtoto kike kupata haki yake ya msingi kuendelezwa.
Akiongea na wanafunzi kutoka shule sita za jiji la Tanga katika washa ya siku moja kwa wanafunzi hao kuhusu kampeni ya kutokomeza mimba na ndoa za utotoni Afisa Maendeleo ya Jamii Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Bwana Mathias Haule amesema Elimu ndio njia sahihi kutimiza ndoto za mtoto wa kike.
Bwana Haule ameongeza kuwa kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia zinaonesha kuwa jumla ya Wanafunzi 5,053 wameacha shule hapa Nchini kwa ajili ya mimba za utotoni.
Ametaja kuwa mimba 4,426 kwa mujibu wa takwimu hizo kuwa ni kutoka shule za Sekondari na 627 ni kutoka shule za Msingi, takwimu hizi ni za mwaka 2016.
Aidha ameitaja Mikoa ya Mbeya(380) Mwanza(372), Kilimanjaro(348), Dodoma(308), na Ruvuma(300) kuwa na idadi kubwa za wasichana walioacha shule kwa sababu ya mimba.
Aidha Bw.Haule ameongeza kuwa serikari imebaini sababu za mimba mashuleni ni kuwa ni pamoja na uelewa mdogo wa jamii kuhusu malezi chanya,umuhimu wa mtoto kike kusoma, mila na desturi na umasikini wa familia.
Wakati huo huo Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Jiji la Tanga Bi.Mwatumu Dossi amesema kwa mwaka 2017 jumla ya wanafunzi wa sekondari 20 walipata ujauzito.
Ametoa wito kwa wazazi na walezi wa Jiji la Tanga kuwa karibu na watoto wao ili kuwapatia elimu ya Afya na jinsia ikiwemo kuacha kuwaoza wasichana katika umri mdogo.
Shule zilizo shiriki kampeni ya kutokomeza mimba na ndoa za utotoni ni shule za msingi za jiji la Tanga ambazo ni Shule ya Msingi Changa,Juhudi,Chumbageni,
Hivyo makala Mimba na ndoa za utotoni zafinya fursa ya mtoto
yaani makala yote Mimba na ndoa za utotoni zafinya fursa ya mtoto Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Mimba na ndoa za utotoni zafinya fursa ya mtoto mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/mimba-na-ndoa-za-utotoni-zafinya-fursa.html


0 Response to "Mimba na ndoa za utotoni zafinya fursa ya mtoto"
Post a Comment