Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica

Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica
kiungo : Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica

soma pia


Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica

KAMATI ya kitaifa inayoendesha mradi wa pamoja kati ya mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa (UNESCO, UN Women na UNFPA) na serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na wizara nyingine ambazo zinahusika na maswala ya Elimu hususani TAMISEMI, Wizara ya Afya, Maedeleo ya Jamii, Jinsia, Watu Wazima na Watoto na Wizara ya Sheria na Katiba pamoja na mfadhili wa mradi KOICA imekutana kwa mara yake ya kwanza kujadili mwelekeo wa mradi unawo husu kumwendeleza msichana na mwanamke kijana kupitia elimu.

Mkutano huo uliokuwa chini ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk Leonard Akwilapo uliangalia na kubadilishana mawazo ya hatua zilizofikiwa katika mradi huo ulioanza mwaka 2016 na kutekelezwa katika wilaya nne nchini Tanzania (Kasulu, Ngorongoro, Sengerema na Mkoani, Pemba) kwenye kata 22 na kupitia mpango wa mwaka 2018.

Akizungumza kabla ya kusimamia mazungumzo, Dk Akwilapo aliwashukuru wafadhili na pia wadau wengine waliojipanga kufanikisha mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wanawake nchini Tanzania na uchumi kwa ujumla.

“Mradi huu ni muhimu sana kwetu, kwa kuwa unachangia juhudi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (MoEST) na wizara nyingine zinazofanyakazi kwa pamoja bila kuchoka kuchangia maendeleo ya sekta ya elimu zikiwemo Wizara za Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu na Wizara ya Katiba na Sheria MoCLA” alisema.
 Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk Leonard Akwilapo akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa Kamati ya Kitaifa ya UN na Serikali ya mradi wa unaofadhiliwa na KOICA wa kuendeleza wasichana na wanawake vijana kielimu uliofanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkazi wa KOICA nchini, Joonsung Park ambao ndio wafadhili wa mradi huo akizungumza wakati wa mkutano wa Kamati ya Kitaifa ya UN na Serikali ya mradi wa unaofadhiliwa na KOICA wa kuendeleza wasichana na wanawake vijana kielimu uliofanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam.
 Mwakilishi wa Mkurugenzi wa UNESCO Kanda ya Afrika Mashariki, Viola Kuhaisa akizungumza kwa niaba ya Anne Theresa  Ndog-Jatta wakati wa mkutano wa Kamati ya Kitaifa ya UN na Serikali ya mradi wa unaofadhiliwa na KOICA wa kuendeleza wasichana na wanawake vijana kielimu uliofanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam.
 Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Wanawake (UN Women) Hodan Addou akitoa salamu za UN WOMEN katika kufanikisha utekelezaji wa mradi huo kwa mwaka 2018 unaohusu kumwendeleza msichana na mwanamke kijana kupitia elimu unaofadhiliwa na KOICA uliofanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam
 Kaimu Mkuu wa Ofisi za Unesco nchini, Faith Shayo akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha mwakilishi wa Mkurugenzi wa UNESCO Kanda ya Afrika Mashariki, Viola Kubaisa (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa Kamati ya Kitaifa ya UN na Serikali ya mradi wa unaofadhiliwa na KOICA wa kuendeleza wasichana na wanawake vijana kielimu uliofanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam. Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk Leonard Akwilapo (katikati) na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Wanawake (UN Women) Hodan Addou (kushoto).
 Ofisa Mradi wa Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) nchini, Jennifer Kotta akiwasilisha mada kuhusu utekelezaji wa mradi kwa mwaka 2018 wakati wa mkutano wa Kamati ya Kitaifa ya UN na Serikali ya mradi wa unaofadhiliwa na KOICA wa kuendeleza wasichana na wanawake vijana kielimu uliofanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam.
 Afisa Programu anayeshughulikia masuala ya Afya ya Uzazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), Fatina Kiluvia akishiriki katika mkutano wa kujadili utekelezaji wa mradi kwa mwaka 2018 unaohusu kumwendeleza msichana na mwanamke kijana kupitia elimu unaofadhiliwa na KOICA ambao umefanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam
Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk Leonard Akwilapo katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa Kamati ya Kitaifa ya UN na Serikali ya mradi wa unaofadhiliwa na KOICA wa kuendeleza wasichana na wanawake vijana kielimu uliofanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA



Hivyo makala Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica

yaani makala yote Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/kamati-ya-kitaifa-ya-un-na-serikali.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica"

Post a Comment