CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA.

CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA.
kiungo : CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA.

soma pia


CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA.

Na John Nditi, Morogoro
UONGOZI wa Chuo  Kikuu  cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kinatarajia kujenga kampasi  tawi la Kigamboni, Jijini Dar es Salaam  itakayo kutoa shahada mbalimbali za masomo ya usimamizi wa biashara na kwa kuanzia na udahili wa wanafunzi 5,000.

Chuo hicho  Kampasi ya  Kigamboni ni kuwezesha  kupata wataalamu wengi wa  usimamizi wa biashara watakaokidhi  mahitaji  ya soko la ajira katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki  pamoja na Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC).

Makamu mkuu wa Chuo Kikuu hicho, Profesa Hamza Njozi,alisema  wakati wa uwekeji wa jiwe la msingi  kitakapojengwa eneo la Lingato , Kata ya Kisarawe II ,Manispaa ya Kigamboni , Jijini Dar es Salaam.

Profesa Njozi alisema, tangu kuanzishwa kwa Chuo hicho Oktoba 23, 2004 chini ya Mfuko wa Taasisi ya Maendeleo ya Waislamu (MDF) na kilizinduliwa rasmi Oktoba 22, 2005 na  Rais wa Serikali ya awamu ya tatu , Benjamin William Mkapa .

Makamu Mkuu wa Chuo hicho alisema, hadi  kufikia mahafali ya kumi mwaka jana ,kimeshatoa wahitimu 5,433 wa ngazi ya Shahada, Stashahada na Astashahada  ambapo  kwa sasa kina zaidi ya wanafunzi 3,000 na uwezo wa chuo ni kuchukua wanafunzi 8,000.

Profesa Njozi  alisema , kujengwa kampasi  Tawi la Kigamboni kunatarajiwa kuongeza udahili wa wanafunzi wa ndani na n je ya nchi baada  ya uongozi wa Chuo kupata  eneo la ardhi lenye  ukubwa wa ekari 400 kwa ajili ya ujenzi huo.
 Makamu mkuu wa Chuo  Kikuu  cha Waislamu cha Morogoro (MUM) , Profesa Hamza Njozi akipanda mti baada ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi  wa Kampasi yake  itakayo kutoa shahada mbalimbali za masomo ya usimamizi wa biashara itakayojengwa eneo la Lingato , Kata ya Kisarawe II, Manispaa ya  Kigamboni, jijini Dar es Salaam.
 Makamu mkuu wa Chuo  Kikuu  cha Waislamu cha Morogoro (MUM) , Profesa Hamza Njozi ( wapili kushoto  fulana pundamilia) akibadirishana mawazo na mmoja wa viongozi wa Chuo hicho baada ya  uwekaji jiwe la msingi la ujenzi  wa Kampasi ya Kigamboni  itakayo kutoa shahada mbalimbali za masomo ya usimamizi wa biashara itakayojengwa eneo la Lingato , Kata ya Kisarawe II ,Manispaa ya  Kigamboni, jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wanafunzi  wakiume  wa Chuo  Kikuu  cha Waislamu cha Morogoro (MUM) wakisaidia kubeba tofari  hadi eneo la  uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi  wa Kampasi  ya Kigamboni  itakayo kutoa shahada mbalimbali za masomo ya usimamizi wa biashara itakayojengwa eneo la Lingato , Kata ya Kisarawe II ,Manispaa ya  Kigamboni, jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Wanafunzi wakike wa Chuo  Kikuu  cha Waislamu cha Morogoro (MUM)  wakisaidia kusogeza mfuko wa saruji kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi  wa Kampasi  yake itakayo kutoa shahada mbalimbali za masomo ya usimamizi wa biashara itakayojengwa eneo la Lingato , Kata ya Kisarawe II ,Manispaa ya  Kigamboni, jijini Dar es Salaam.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA.

yaani makala yote CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/chuo-kikuu-cha-waislamu-cha-morogoro.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO KUANZISHA KAMPASI KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA MASOMO YA USIMAMIZI WA BIASHARA."

Post a Comment