Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo

Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo
kiungo : Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo

soma pia


Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo

Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini (TADB) imeazimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kuendesha mafunzo ya kilimo kwa wanawake wakulima wa Chama cha Ushirika Ruvu (CHAURU) ili kuwajengea uwezo ili Kuchagiza na kusaidia Mapinduzi ya Kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda cha kibiashara ili kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini.

Akizungumza na wanawake hao, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Bibi Rosebud Kurwijila alisema kuwa moja ya malengo ya kimkakati ya TADB ni kuhamasisha kilimo cha kisasa na cha kibiashara kwa wakulima wadogo wadogo hasa wanawake na vijana nchini.

Aliongeza kuwa Benki ya Kilimo ina mikakati ya dhati katika kuwasaidia wakulima wanawake nchini ili hasa katika kutekeleza kwa vitendo Kauli mbiu ya kitaifa ya Siku ya Wanawake Duniani Mwaka huu 2018 isemayo ”Kuelekea uchumi wa viwanda tuimarishe usawa wa jinsia na uwezeshaji wa wanawake vijijini.’’ 

“Katika hili TADB inatambua mchango wa wanawake katika sekta ya kilimo ambao wengi wao wako vijijini na ndio wazalishaji wakubwa wa chakula katika taifa letu,” alisema.  
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Rosebud Kurwijila akizungumza na wanawake wanaojishughurisha kilimo walio chini ya mwavuli wa CHAURU na Faraja Women’s Group (hawapo pichani).
 Afisa Biashara Mwandamizi wa TADB, Eunice Mbando akizungumza na wanawake kuhusu fursa za mikopo nafuu kwa wakulima itolewayo na Benki ya Kilimo nchini.
 Baadhi ya wanawake wanaojishughurisha kilimo walio chini ya mwavuli wa CHAURU na Faraja Women’s Group  wakifuatilia kwa makini mafunzo yaliyotolewa na Benki ya Kilimo nchini.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo

yaani makala yote Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/benki-ya-kilimo-yaazimisha-siku-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Benki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo"

Post a Comment