UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU

UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU
kiungo : UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU

soma pia


UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU

Na Leandra Gabriel,Globu ya Jamii

IDARA ya Uhamiaji nchini inawashikilia watanzania 9, ambao ni  wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala(KIU) jijini Dar  es Saalam kwa madai ya kuzuia maofisa wa idara yao kutofanya kazi yao walipofika chuoni hapo.

Akizungumza na Michuzi Blog, leo jijini Dar es Salaam, Msemaji wa  Idara ya Uhamiaji Ally Mtanda amesema watu hao tisa wamekamatwa  jana kwa tuhuma za kuzuia maofisa wa idara hiyo wasitimize  majukumu yao na kwa sasa wanawahoji. 

"Watu hao baada ya maofisa wetu jana kufika pale KIU waliamua kuwazuia kwa kufunga milango ili tusipate nafasi ya kufanya kile ambacho kimetupeleka,"amesema.

Hivyo kukamatwa kwa watu hao kunafanya idadi ya wanaowashikiliwa na Idara ya Uhamiaji kufikia 48."Idara ya Uhamiaji inaendelea kuwahoji na kati ya hao wanaoshikiliwa wapo raia wa Nigeria watano, raia wa Congo mmoja, raia wa Uganda 30, raia wa Kenya 3 pamoja na hao raia wa Tanzania 9,"amesema.

Amefafanua Idara ya Uhamiaji itaendelea kukagua vyuo mbalimbali  nchini kwani ni agizo la Wizara ya Elimu, Sayansi na  Teknolojia. Alipoulizwa kwanini wameanza na KIU amejibu huo ni  mwanzo tu kwani watapita kwenye maeneo mbalimbali.


Hivyo makala UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU

yaani makala yote UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/uhamiaji-yawashikilia-watanzania-tisa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "UHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU"

Post a Comment