UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI

UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI
kiungo : UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI

soma pia


UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI


Mwambawahabari 
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Jumaa aweso, amewaomba Wakurugenzi  wa nchini kuwalipa wakandarasi waliofanya kazi zao vizuri kuwalipa kwa wakati fedha zao ili kuendana na kasi ya utekelezaji wa miradi.

Mhe. Aweso Ameyasema hayo wakati wa ziara yake katika Manispaa ya Ubungo na kuongeza kuwa utekelezaji wa miradi huchelewesha na Halimashauri na watendaji wazembe, kwa kutaka wapewe fedha ndipo wawalipe na kukemea tabia hiyo kwa  inachelewesha miradi na iko kinyume cha maadili.
Hata hivyo  ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa kutekeleza  vyema miradi ya maji na kuwataka iwapo wa nahitaji usaidizi

Akitoa taarifa ya Wilaya Kaimu Mkurugenzi wa manispaa hiyo Ramadhani  Mabula, amesema Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo inayo mahitaji ya maji Lita 61milion, lakini sasa za nampatia na Lita 41 Milion sawa na silimia  65.


Hivyo makala UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI

yaani makala yote UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/ubungo-bado-ina-hitaji-maji-zaidi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UBUNGO BADO INA HITAJI MAJI ZAIDI"

Post a Comment