TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII.

TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII.
kiungo : TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII.

soma pia


TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII.

 Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi akizungumza wakati akifungua  mkutano wa ushirikiano kati ya Tanzania na China katika sekta ya Utalii jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii, Jaji Mstaafu Thomas Miyayo akizungumza kuhusiana na utalii nchini wakati wa mkutano wa ushirikiano kati ya Tanzania na China katika sekta ya Utalii uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Mhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori  na Mtafiti wa Sokwe Mtu  Sokwe wa Mkoa wa Kigoma ,Dk. Jane Goodal akizungumza kuhusiana na Utalii nchini leo jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi akiwa katika picha ya pamoja na wa vatendaji wa TTB wadau wa Utalii wa China.
 Msanii Maarufu nchini China, Nanping Liu akikabidhi zawadi Mhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori  na Mtafiti wa Sokwe Mtu  Sokwe wa Mkoa wa Kigoma, Dk. Jane Goodal katika Mkutano wa Utalii jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau wakiwa katika mkutano wa wadau utalii kati ya Tanzania na China leo jijini Dar es Salaam.


Hivyo makala TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII.

yaani makala yote TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/tanzania-na-china-zashirikiana-kukuza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZANIA NA CHINA ZASHIRIKIANA KUKUZA SOKO LA UTALII."

Post a Comment