title : MSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO.
kiungo : MSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO.
MSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO.
KIJANA JONES MBWAMBO ANASUMBULIWA NA TATIZO LA UVIMBE KATIKA UTI WA MGONGO AMBALO LIMESABABISHA KUPOOZA KWA MWILI WOTE. ANATAKIWA KUPELEKWA NCHINI INDIA KWA MATIBABU.
GHARAMA ZA MATIBABU NI SHILINGI MILIONI 30, TUNAOMBA MSAADA WAKO ILI KUWEZA KUFANIKISHA MATIBABU HAYO NA KUOKOA UHAI WAKE. UNAWEZA KUTUMA FEDHA ZA MATIBABU KWA MPESA: 0754295650 AU TIGO PESA: 0716913937 JINA LA MPOKEAJI NI JAINA MSUYA MAMA WA JONES. AKAUNTI YA BENKI NI 0112020233500.
TUNATANGULIZA SHUKRANI ZETU ZA DHATI NA MUNGU AWABARIKI NA KUWAZIDISHIA PALE MTAKAPOTOA.
Hivyo makala MSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO.
yaani makala yote MSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/msaada-unahitajika-kwa-kijana-jones.html
0 Response to "MSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO."
Post a Comment