MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI

MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI
kiungo : MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI

soma pia


MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI

Na Luteni Selemani Semunyu JWTZ

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amewataka wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Gofu ya Klabu ya Jeshi ya Lugalo kuhakikisha wanarejesha heshma ya jeshi kuwa kinara katika michezo na kuzalisha wachezaji bora wanaowakilisha nchi kwa mafaniko.

Aliyasema hayo Makao Makuu ya jeshi Upanga Jijini Dar es Salaam wakati akiagana na wachezaji Sita wa Gofu wanaotarajia kuwakilisha nchi katika michuano ya wazi ya wanawake nchini Nigeria IBB Ladies Open Championship 2018 yanayaotarajia kufanyika hivi karibuni.

Jenerali Mabeyo alisema kama ilivyokuwa katika Michezo ya Riadha na Ngumi sasa tunataka na kwenye gofu na kwa kuanza ni timu hii ya Gofu ya Wanawake kuhakikisha inarudi na ushindi mnono.

“ Nikiwa mlezi wa Klabu naamini mtatuwakilisha vyema na Jeshi kwa ujumla tutaendelea kuwaunga mkono wachezaji wa Gofu na hata Michezo mingine kuhakikisha jeshi linaendelea kuwa kinara w michezo nchini na kuwa chachu kwa wengine” Alisema Jenerali Mabeyo.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akisalimiana na Wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Klabu ya Gofu ya jeshi la ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo inayotarajia kushiriki mashindano ya Wazi ya Wanawake ya IBB nchini Nigeria Hivi karibuni
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akimkabidhi Bendera ya taifa Nahodha wa Timu ya Wanawake ya Klabu ya Gofu ya jeshi la ulinzi la Wananchi wa tanzania ya Lugalo inayotarajia kushiriki mashindano ya Wazi ya Wanawake ya IBB nchini Nigeria Hivi karibuni
Mwenyekiti wa wa Chama cha Gofu nchini Joseph tango (Aliyesimama) akizungumza wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari makao makuu ya jeshi Upanga ambapo Timu ya Wanawake ya Klabu ya jeshi ya Lugalo walikabidhidhwa bendera kwa Ajili ya kushiriki Michuano ya Wazi nchini Nigeria aliyeka Kushoto ni Mwenyekii wa Lugalo Brigedia Jenerali Michael Luwongo Mstaafu.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akiwa katika Picha ya Pamoja na Wachezaji na Viongozi wa Klabu ya Gofu ya jeshi la ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo Wakuu wa Matawi na Wachezaji wanaotarajia kushiriki mashindano ya Wazi ya Wanawake ya IBB nchini Nigeria Hivi karibuni (Picha na Luteni Selemani Semunyu




Hivyo makala MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI

yaani makala yote MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/mkuu-wa-majeshi-ya-ulinzi-aitaka-golf.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI"

Post a Comment