TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka

TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka
kiungo : TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka

soma pia


TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka

Aliyekuwa mtangazaji wa muda mrefu wa Radio Free Africa, Zuberi Msabaha amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatano Januari 10, 2018,  huko jijini Mwanza.

Zuberi Msabaha alikuwa ameugua kwa muda mrefu huku akipatiwa matibabu yake sehemu tofauti tofauti hapa nchini. Msiba wake upo Mabatini jijini Mwanza na mazishi yatafanyika Jumatano ya leo. 
Marehemu Zuberi Msabaha alijijengea umaarufu mkubwa kupitia kipindi chake cha Bolingo Time kinachorushwa hewani na kituo cha Radio cha RFA.
Zuberi Msabaha alikuwa mchambuzi mzuri sana wa muziki wa Dansi hasa muziki wa Kongo ambao mara nyingi unaimbwa kwa lugha ya Kilingala, Kikongo, kikasai, na Kifaransa.

Mungu ailaze Mahali Pema Peponi Roho 
ya mpendwa wetu Papa Zuberi Msabaha.
#darmpya


Hivyo makala TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka

yaani makala yote TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/tanzia-mpiganaji-wa-radio-free-africa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka"

Post a Comment