Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule

Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule
kiungo : Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule

soma pia


Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule

Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 11 ameamua kujiua baada ya ombi lake la kuhamishwa shule kukataliwa huko nchini Kenya

Taarifa zinasema kuwa mtoto huyo kutoka kijiji cha Ongata Rongai amechukua uamuzi huo mgumu baada ya mama yake kumuambia hana uwezo wa kumpeleka shule binafsi anayotaka, na kumtoa kwenye shule ya umma aliyokuwa akisoma.
Baada ya mama yake kutoka kwenda dukani moto huyo ambaye ni wa kwanza kuzaliwa kwenye familia ya watoto watatu, alichukua kamba na kujinynga sebuleni kwao, na mama mtu kukuta mwili wa mtoto wake ukining'inia.
Kwa mujibu wa mama wa mtoto huyo hakukuwa na ugomvi wowote baina yao zaidi ya kushindwa kutekeleza ombi lake, na jeshi la polisi kuanzisha uchunguzi juu ya tukio hilo, kwani wanashindwa kuelewa kwa nini mtoto huyo hakwenda shule na kuamua kubaki nyumbani,  wakati shule zimeshafunguliwa.


Hivyo makala Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule

yaani makala yote Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mtoto-wa-miaka-11-ajiua-baada-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mtoto wa miaka 11 ajiua baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishwa shule"

Post a Comment