Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa

Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa
kiungo : Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa

soma pia


Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa

Mke wa mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, Peras Kingunge amefariki dunia leo Alhamisi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Mtoto wa Kingunge, Kinje Ngombale amethibitisha taarifa hizo na kwamba kifo cha mama yake kimetokea wakati baba yake pia ni mgonjwa.

"Ni kweli mama amefariki na baba amelala kwa sababu ndio kwanza ametoka chumba cha upasuaji aling'atwa na mbwa. Tutamwambia akiamka," amesema


Hivyo makala Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa

yaani makala yote Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mke-wa-kingunge-afariki-dunia-mumewe.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mke wa Kingunge afariki dunia mumewe akiwa amelazwa"

Post a Comment