KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAMkiungo :
KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Wachezaji wa Simba SC, Nicolaus Gyan na Asante Kwasi wakiwasili leo jijini Dar es Salaam kutokea visiwani Zanzibar mara baada ya kuondolewa katika Michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kushika nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi A.
Mshambuliaji wa Wekundu wa Msimbazi, Shiza Ramadhani Kichuya akikataa kuzungumza na waandishi wa habari bandarini hapo mara baada ya kuwasili leo Jijini Dar es salaam akitokea visiwani Zanzibar mara baada ya kuondolewa katika Michuano ya Kombe la Mapinduzi .
Baadhi ya washabiki wa Simba SC wakishangilia mara baada ya timu hiyo ilipokuwa ikirejea nyumbani mara baada ya kuondolewa katika Michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Mshabiki wa Simba SC, Willium Mazoba akizungumza na Michuzi Blog amesema kuwa amesikitishwa kwa timu yake kupoteza michuano hiyo na kuwataka walimu kujipanga kwa ajili ya ligi kuu Tanzania Bara. (Picha na Agness Francis wa Blogu ya Jamii)
Hivyo makala KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
yaani makala yote KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/klabu-simba-sport-yarejea-leo-jijini.html
Related Posts :
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Azungumza na Spika na Uongozi wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ikulu leo.… Read More...
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AHIMIZA USHIRIKIANO BAINA YA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YA WAZIRI MKUU ILI KUONGEZA UFANISI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde, (katikati), akikokota mpira wakati wa … Read More...
Mafunzo ya Kamati ya Uongozi Makamu,Wenyeviti wa Kamati na Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge Yafanyika Afisi za Bunge Zanzibat Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
… Read More...
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AHIMIZA USHIRIKIANO BAINA YA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YA WAZIRI MKUU ILI KUONGEZA UFANISI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde, (katikati), akikokota mpira wakati wa … Read More...
MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGATaasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) Tawi la Tanzania kwa kushirikiana na Internews Tanzania wameendesha mafunzo kwa waandi… Read More...
0 Response to "KLABU SIMBA SPORT YAREJEA LEO JIJINI DAR ES SALAAM"
Post a Comment