WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA

WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA
kiungo : WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA

soma pia


WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA

Wadau wa mazingira nchini Tanzania wameombwa kujitokeza kuinusuru wilaya ya Gairo ambayo inahekari zaidi ya 3,000 zilizokuwa zimevamiwa waharibifu wa mazingira.

Kauli hiyo imekuja hivi karibuni baada ya Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Siriel Shaidi Mchembe kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa lakuwaondoa wavamizi wa Misitu ya Hifadhi kabla ya Disemba 31, 2017.

Waziri Mkuu alitoa maagizo hayo alipokuwa akiahitisha Bunge la mjini Dodoma Novemba 18, 2017. Kati ya maeneo ambayo yalikuwa na uvamizi na uharibifu mkubwa wa mazingira ni Misitu ya Hifadhi Wilaya ya Gairo.

Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Siriel Shaidi Mchembe akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya walifanya vikao na wananchi huku wakipitia muhtasari ya vikao vya nyuma vya ushirikishwaji kuanzia ngazi ya Kijiji, Kata, Wilaya hadi Mkoa vya kuwaondoa wavamizi hao. 

Aidha kupitia taarifa ya mpango wa matumizi bora ya ardhi ya kijiji hicho ambayo ilisomwa na mwenyekiti wa Kijiji ikibainisha utengwaji wa maeneo mbalimbali zikiwemo ekari 1,000 za hifadhi walizogawiwa wananchi kwa ajili ya kilimo.
 Mkuu wa Wilaya Mhe. Siriel Shaidi Mchembe (kushoto) akiwa pamoja na Meneja wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Bw. David Mahiba pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama wakati wakitoa elimu kwa wananchi walioshiriki zoezi hilo kwa asilimia 100 kwa amani na upendo.
Wananchi wakifuatilia mkutano huo.
Vibanda vya wavamizi wa Hifadhi ya Misitu Gairo vikiteketezwa kwa moto.



Hivyo makala WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA

yaani makala yote WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/wavamizi-wa-hifadhi-ya-misitu-wilayani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA"

Post a Comment