Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zaokiungo :
Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao
Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao
Dk, Faiza Kassim Suleiman, akitowa taaluma kwa Watendaji wa Serikali wa ZRB Pemba,jinsi wanavyotakiwa kujikinga na maradhi ya kuambukiza ikiwemo maradhi ya Sukari ambayo yameonekana kuwa tishio Zanzibar na
Duniani kwa ujumla.
Dk, Faiza Kassim Suleiman, akitowa taaluma kwa Watendaji wa Serikali wa ZRB Pemba,jimsi wanavyotakiwa kujikinga na maradhi ya kuambukiza ikiwemo maradhi ya Sukari ambayo yameonekana kuwa tishio Zanzibar na
Duniani kwa ujumla.
Wafanyakazi wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) , wakifuatilia kwa makini taaluma wanayopatiwa na Dk, Faiza Kassim Suleiman, mtaalamu wa maradhi ya Sukari kutoka Hospitali ya Mnazi mmoja Unguja.
Watendaji wakuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar ( ZRB) Pemba, wakifuatilia matokeo ya upimaji wa maradhi mbali mbali kwenye vyeti vyao , juu ya viashiria vya maradhi waliyonayo .
PICHA NA BAKAR MUSSA-PEMBA.
Hivyo makala Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao
yaani makala yote Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/watendaji-zrb-pemba-wapimwa-afya-zao.html
Related Posts :
WATANZANIA WAASWA KUPENDA BIDHAA ZA NDANIWatanzania wameshauriwa kupenda kununua bidhaa zinazozalishwa nchini ili waweze kukuza soko la ndani na uchumi kwa ujumla.
Hayo yamesemwa n… Read More...
Zantel kwa kushirikiana na Bodi ya Mamlaka ya Mapato ya Zanzibar wameingia katika makubaliano ambayo yatawawezesha wakazi wa kisiwani hapa kurahisisha huduma ya ulipaji kodi kwa njia ya simu kupitia huduma ya EzyPesa inayotolewa na Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Ushirikiano huo unawezesha wateja wote wa Bodi ya Mapato Zanzibar kuweza kufanya miamala ya malipo ya kodi bila usumbufu wowote kupitia EzyPesa. Hii inamaanisha kwamba walipa kodi wa ndani wataweza kulipa kodi zao husika ikiwamo ushuru wa forodha na kodi zingine kama PAYE na VAT kwenye uingizaji wa biadhaa kupitia mfumo wa EzyPESA. Akizungumza wakati wa hafla ya kutiliana saini ya makubaliano hayo Alhamisi ya tarehe 14 Desemba 2017, Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Sherif El Barbary akiwa ameambatana na Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar, Amour Hamil Bakari na Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohamed Mussa (Baucha) alisema lengo kuu la huduma hiyo ni kuwawezesha wakazi wa Zanzibar kulipa kodi kwa urahisi zaidi kupitia huduma ya EzyPesa ya Zantel. Alisema kuwa hatua hiyo ya makubaliano inaendana sawa na dira ya Bodi ya Mapato Zanzibar, yenye lengo la kuwa kitovu cha ukusanyaji mapato chenye ufanisi, jambo ambalo litaiwezesha nchi kuongeza pato la taifa la ndani kwa mwaka (GDP). “Kama tunaweza kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia huduma ya EzyPesa na pato la Taifa GDP litaongezeka zaidi. Hii itasaidia kuimarisha uchimi wa Taifa zima, na kwa namna nyingine kipato cha mwananchi wa kawaida kitaongezeka. Alisema Zantel ni miongoni mwa kampuni inayoongoza katika kuchangia malipo makubwa ya kodi kwa Serikali ya Zanzibar na mtandao huo utaendelea kuhakikisha unaendelea na utaratibu wa kusaidia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Bodi ya Mapato ya Zanzibar ili kuhakikisha kwamba wanakusanya kodi kwa kadri wanavyoweza kupitia huduma ya EzyPesa. Takwimu zinaonyesha kwamba Zantel inalipa Shilingi blioni 2 kama kodi kwa serikali ya Zanzibar kila mwezi ambapo ni takribani shilingi 24 bilioni kwa mwaka. “Lengo la ushirikiano huu ni kuhakikisha tunawasogezea wananchi huduma za ulipaji kodi karibu na maeneo yao, nikimaanisha kuwa sasa hawatohitaji kupoteza muda mwingi kuzifuata huduma za kodi ofisini kwetu bali zitakuwepo viganjani mwao,” alisema Kamishna wa Kodi wa Bodi ya Mapato Zanzibar, Amour Hamil Bakari. Alisema lengo kuu la Bodi ya Mapato Zanzibar ni kusogeza huduma karibu kwa wateja wake, kuimarisha shughuli za utendaji wa kila siku za taasisi hyo ikiwa ni pamoja na kubuni mbinu mbadala za kuongeza ukusanyaji wa mapato Zanzibar
Zantel kwa kushirikiana na Bodi ya Mamlaka ya Mapato ya Zanzibar wameingia katika makubaliano ambayo yatawawezesha wakazi wa kisiwan… Read More...
PANGANI COUNCIL AND OTHER GOVERNMENT ORGANS WARNED AGAINST PUTTING HITCHES ON THE WORK OF UZIKWASA
Pangani District Council and other Government organs have been advised against putting hurdles on the work of a non-government organization… Read More...
Wadau Wa Michezo Jitokezeni kuibua Vipaji Vya Michezo Mikoani-Mhe.Shonza
*Na Lorietha Laurence-WHUSM, Mbeya Vijijini*
Naibu Waziri wa Habari ,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza ametoa wito kwa wadau… Read More...
HALI YA UZALISHAJI UMEME VITUO VYA PANGANI HYDRO SYSTEM VIKO KATIKA HAKLI NZURI; MHANDISI MAHENDANA K-VIS BLOG/Khalfan Said, Korogwe
VITUO vya uzalishaji umeme wa maji vya Pangani Hydro Systems, ambayo inahusisha vituo vitatu, New Panga… Read More...
0 Response to "Watendaji ZRB Pemba wapimwa afya zao"
Post a Comment