Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni

Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni
kiungo : Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni

soma pia


Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni

 AFISA mtembeza wageni katika msitu wa Hifadhi Ngezi Wilaya ya Micheweni, Abdi Mzee Kitwana akiwapatia wanafunzi wa skuli ya Sekondari Utaani, histori fupi yam situ huo wakati wa ziara ya kimasomo kuangalia vivutio mbali mbali vya utalii Kisiwani Pemba, iliyoandaliwa na kamisheni ya Utalii Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WANAFUNZI kutoka Skuli ya Sekondari Utaani Wilaya ya Wete, wakisikiliza kwa makini historia fupi ya Msitu wa Hifadhi Ngezi, wakati wa ziara ya kutembelea Vivutio mbali mbali vya utalii vilivyomo ndani ya Wilaya hiyo, ziara iliyoandaliwa na kamisheni ya Utalii Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MPAPINDI ni Miongoni mwa miti adimu duniani kupatikana,mti huu unaopatikana katika msitu wa Hifadhi ya Ngaze tu, ulioko  Wilaya ya Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba, umekuwa ni kivutio kimoja kikuu cha watalii, katika ziara iliyoandaliwa na kamisheni ya Utalii Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 AFISA mtembeza wageni katika msitu wa Hifadhi Ngezi Wilaya ya Micheweni, Abdi Mzee Kitwana akiwapatia wanafunzi wa skuli ya Secondari Utaani, histori fupi yam situ huo wakati wa ziara ya kimasomo kuangalia vivutio mbali mbali vya utalii Kisiwani Pemba, iliyoandaliwa na kamisheni ya Utalii Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WANAFUNZI wa skuli ya Sekondari Utaani wakimsikiliza kwa makini kijana Mohamed, wakati alipokuwa akitoa histori ya kiwanda cha kupasulia mbao kilichokuwemo ndani yam situ wa ngezi kabla ya Mapinduzi ya mwaka 1964 na kiwanda hicho kufa kabisa, katika ziara iliyoandaliwa na kamisheni ya Utalii Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


Hivyo makala Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni

yaani makala yote Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/wanafunzi-skuli-ya-utaani-katika-ziara.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wanafunzi skuli ya Utaani katika ziara ya kimasomo msitu wa Hifadhi ya Ngezi Wilaya ya Micheweni"

Post a Comment