Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani

Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani
kiungo : Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani

soma pia


Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani



Ofisa Mauzo wa Benki ya TPB Bw. Nelson Mwakilasa akichanganya kuponi za droo ya pili Western Union wakati wa kumtafuta mshindi wa droo hiyo ilifanyika Dar es Salaam jana,



Kaimu ofisa Mtendaji Mkuu kutoka Benki ya TPB, Bw. Mshamma  Mshamma (kushot) akisoma jina la mshindi katika droo ya pili ya Western union. kulia anae shuhudia ni  mwakilishi kutoka Mwakilishi kutoka Baraza la Michezo ya Bahati Nasibu Tanzania, Abdallah Hemed




Meneja wa huduma ya Western Union kutoka Benki ya TPB. Editha Lunyungu kushoto akihakiki majina ya washindi kwenye kopyuta  mpakato wakati wa kumtafuta mshindi wa droo ya pili Western Union wakati wa kumtafuta mshindi wa droo hiyo ilifanyika Dar es Salaam jana,



Baadhi ya wafanyakazi wa Bank ya TPB wakiwa katika picha ya pamoja baada kumalizika kwa zoezi la kuchezesha droo ya pili ya Western Union.


Mwambawahabari 
Benki ya TPB  mwishoni mwa juma  imechezesha droo ya pili ya Western Union na kupata washindi 7 kutoka matawi mbalimbali .

Washindi 5 walipata simu za mkononi na 2 walipata kompyuta mpakato.

Majina hayo yalitajwa na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa benk hiyo Bw. Mshamma Mshamma na kusimamiwa na Mwakilishi kutoka Baraza la Michezo ya Bahati Nasibu Tanzania, Abdallah Hemed.

Washindi waliojishindia simu za mkononi aina ya Samsung J5 ni Bi. Elizabeth Lugendo kutoka Dar es Salaam, Bw.Frank Tetea kutoka Korogwe Tanga, Bw, Jafari Msaki kutoka Arusha, Bi. Rose Maluka kutoka Dodoma na B. Anna Kasoga kutoka Ifakara -Morogoro.

Washindi wawili waliojishindia kompyuta mpakato ni Bw. Justine Muyanza kutoka Mwanza na Bw. Abdul Hurey kutoka Arusha.



Hivyo makala Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani

yaani makala yote Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/jinsi-bank-ya-posta-ilivyo-chezesha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Jinsi Bank ya Posta ilivyo chezesha droo ya pili ya Western Union, washindi saba walivyojishindia vitu vya thamani"

Post a Comment