WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA

WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA
kiungo : WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA

soma pia


WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA

Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wamempokea rasmi Katibu Mkuu mpya, Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua, Makao Makuu ya Wizara, mjini Dodoma. Mapokezi hayo yalifanyika Oktoba 31, 2017 na kuongozwa na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Lusias Mwenda. Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali wakati wa mapokezi hayo.
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu mpya wa Wizara, Dkt. Hamisi Mwinyimvua (kushoto), mara baada ya Katibu Mkuu kuwasili rasmi Makao Makuu ya Wizara mjini Dodoma.
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi Mwinyimvua (kulia), akimsikiliza Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Lusias Mwenda (kushoto), mara baada ya kuwasili rasmi Makao Makuu ya Wizara mjini Dodoma.
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi Mwinyimvua (kushoto), akisalimiana na wafanyakazi mbalimbali wa Wizara (kulia), alipowasili rasmi Makao Makuu ya Wizara, mjini Dodoma.


Hivyo makala WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA

yaani makala yote WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/wizara-ya-nishati-wampokea-katibu-mkuu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIZARA YA NISHATI WAMPOKEA KATIBU MKUU MPYA DODOMA"

Post a Comment