WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI

WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI
kiungo : WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI

soma pia


WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI

Ukiacha Kamati Kuu ya kuratibu michuano ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U17/2019) kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 17, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefanya uteuzi mwingine.

Uteuzi huo umeegemea zaidi kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya Maandalizi (LOC) wakiwamo viongozi wakuu wa TFF na wanafamilia wengine ambao kwa pamoja watafanya kazi ya kuandaa michuano hiyo itakayofanyika Tanzania mwaka 2019.

Wakati jina namba moja ni Mwenyekiti wa kila kamati ndogo wajumbe wengine katika kamati hizo ni kama ifuatavyo:

Miundombinu (Infrastructure)
  1. 1. Paul Makonda (Mwenyekiti)
  2. 2. Yusuph Singo
  3. 3. Sunday Kayuni
  4. 4. Leslie Liunda
  5. 5. Nassoro Idrissa
  6. 6. Mohamed Kiganja
  7. 7. Mhandisi Davis Shemangale


Hivyo makala WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI

yaani makala yote WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/wateuliwa-kuunda-kamati-ndogondogo-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019 YATAYOFANYIKA NCHINI"

Post a Comment