Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu

Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu
kiungo : Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu

soma pia


Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu

Mama Mzazi wa msanii wa filamu Bongo na Mkurugenzi wa Endless Fame, Wema Sepetu wameenda Nairobi nchini Kenya kumjulia hali mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu ambaye anapata matibabu nchini huyo.

Lissu ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekuwa akitibiwa Nairobi tangu aliposhambuliwa kwa kupigwa risasi September mwaka huu. 
Viongozi mbali mbali wa kiserikali na wa chama hicho wamekuwa wakienda kumjulia hali na sasa Mama wa Wema Sepetu ameonekana kufanya hivyo.

Hapo jana Makamu wa Rais Mhe. Mama Samia Suluu alimtembelea pia Lissu hospitalini hapo. Mama Wema pamoja na mwanaye February 24 mwaka huu walitangaza kujiunga na Chadema.


Hivyo makala Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu

yaani makala yote Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/picha-mama-wema-sepetu-atua-nairobi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Picha: Mama Wema Sepetu atua Nairobi kumuona Tundu Lissu"

Post a Comment