NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU

NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU
kiungo : NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU

soma pia


NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU

Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa (mwenye Tai nyekundu) amefanya ziara ya kushitukiza katika Bandari ya Dar es salaam leo November 29, 2017 na kubaini Kampuni ya NAS ikitaka kutoa Semi Trela 44 bila ya kufuata utaratibu.




WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa amemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon Sirro 
kuwakamata, Bw. Bahman wa kampuni ya NAS na Wakala wa Kampuni ya 
Wallmark Bw. Samwel kwa kutaka kutoa bandarini magari makubwa aina ya 
semi tela 44 bila ya kulipa kodi kwa kutumia jina la Waziri Mkuu. 

Pia
Waziri Mkuu ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) 
kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kutowasikiliza wafanyabiashara 
wanaotaka kukwepa kodi kwa madai ya kupewa vibali vya msamaha wa kodi 
kutoka kwa viongozi wa juu Serikalini. 

“Mtu asije hapa aseme 
amepewa kibali na Rais Dkt. John Magufuli, Makamu wa Rais Mama Samia 
Suluhu Hassan au Waziri Mkuu cha kutaka kutoa mzigo wake bila ya kufuata
taratibu. Akija mtu na taarifa hizo akamatwe mara moja na achukuliwe 
hatua kwa mujibu wa sheria.” 

Ametoa agizo hilo leo (Jumatano, 
Novemba 29, 2017) alipofanya ziara ya ghafla bandarini baada ya kupata 
taarifa za mfanyabiashara huyo aliyetaka kuutapeli uongozi wa TPA kutaka
kutoa magari hayo yaliyoingizwa nchini mwaka 2015 kutoka nchini 
Uturuki. 

Hatua hiyo imekuja baada ya Bw. Bahman wa kampuni ya 
NAS kutaka kupata msamaha wa kodi kwa kuidanganya TPA kwa madai kwamba 
wamewasiliana na Waziri Mkuu na wasipotekeleza jambo hilo watapata 
matatizo. 


Hivyo makala NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU

yaani makala yote NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/newz-alertwaziri-mkuu-abaini-semi-trela_29.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NEWZ ALERT:.WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA YA KUFUATA UTARATIBU"

Post a Comment