title : MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 9,2017
kiungo : MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 9,2017
MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 9,2017
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akimsikiliza Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mhe.Freeman Mbowe wakati wa maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu leo Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu wakati wa kikao cha tatu cha mkutano wa tisa wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo akiteta jambo na Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza wakati wa kikao cha tatu cha mkutano wa tisa wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza jambo na Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA) Mhe.Dk Imaculate Semesi wakati wa kikao cha tatu cha mkutano wa tisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
Mbunge wa Bukombe(CCM) Mhe.Doto Biteko akiuliza swali wakati wa kikao cha tatu cha mkutano wa tisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Mwigulu Nchemba akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa kikao cha tatu cha mkutano wa tisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
Hivyo makala MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 9,2017
yaani makala yote MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 9,2017 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 9,2017 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/matukio-katika-picha-bungeni-mjini.html
0 Response to "MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 9,2017"
Post a Comment