DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.

DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.
kiungo : DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.

soma pia


DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika  kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja
Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (kushoto) alipowasilisha Muhtasari wa  Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017, wakati wa kikao cha siku moja cha  Uongozi wa Wizara hiyo kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)wengine ni  Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya  Mzee
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe,Said Hassan Said alipokuwa akitoa mchango wakati wa kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 cha Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora, kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja (kulia) Naibu Waziri,Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe,Khamis Juma Maalim
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Srikali Zanzibar Bi.Fatma Mohamed Said alipokuwa akitoa michango mbali mbali wakati wa kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017,kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) na Mkurugenzi Mwendesha Mashataka Nd,Ibrahim Mzee Ibrahim (kulia)
Baadhi ya Maafisa katika Idara mbali mbali za  Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora  wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),alipozungumza na Uongozi wa Wizara  hiyo  katika  kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 03/11 


Hivyo makala DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.

yaani makala yote DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/dkshein-azungumza-na-uongozi-wa-ofisi_4.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS ,KATIBA,SHERIA,UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA."

Post a Comment