title : BREAKING NEWS.......... JAFO AFANYA ZIARA MANISPAA YA UBUNGO, ATOA MAAGIZO MAZITO SOKO LA MABIBO.
kiungo : BREAKING NEWS.......... JAFO AFANYA ZIARA MANISPAA YA UBUNGO, ATOA MAAGIZO MAZITO SOKO LA MABIBO.
BREAKING NEWS.......... JAFO AFANYA ZIARA MANISPAA YA UBUNGO, ATOA MAAGIZO MAZITO SOKO LA MABIBO.
mwambawahabari
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Suleiman Jafo, ameitaka Manispaa ya Ubungo kujenga miundombinu ya maji taka katika Soko la ndizi la Mabibo na ili kuweka soko hilo katika hali ya usafi.
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Suleiman Jafo, ameitaka Manispaa ya Ubungo kujenga miundombinu ya maji taka katika Soko la ndizi la Mabibo na ili kuweka soko hilo katika hali ya usafi.
'' sijaridhishwa na miundo mbinu ya soko hili Kuna uchafuuhuu mifereji ijengwe haraka, mapato pia bado hayaridhishi 90milion sisawa, naomba Usimamizi ufanye vizuri ipasavyo "Amesema Jafo.
Jafo Ameyasema hayo leo alipofanya ziara katika Soko hilo nakusisisitizo kuongezewa kwa nguvu ya kufanya usafi hasa katika kipindi hiki cha mvua.
Aidha Mhe Jafo ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa kujenga shule ya secondari kimara secondari yenye madarasa manane kwa fedha zake za ndani ambapo shule hiyo Itazinduliwa January 2018.
"Shule hii mahali malipo I jenga sisal ama Sana kwa miaka ijayo, kwahiyo nawaalika mtafute eneo lingine angalau ndani ya miaka mitatu mjengesehemu shule nyingine" Amesema Jafo.
Katika hatua nyingine akiwakatika katika ziara hiyo Jafo akiwa katika Kituo cha Afya Kimara amezunguza na wananchi waliofika kutibiwa hapo na kuwaele za mpango wa Serikali kuwa ina mpango wa kujenga Jengo la Ghorofa ili kupanua huduma za Afya wilani humo, na kumwagiza Mhandisi wa Manispaa hiyo kutumia vizuri fedha bilioni 4 zilizotengwa tengwa kwa ajili ya kuijenga vizuri Zahanati hiyo.
Aidha amekutana na baadhi ya wananchi wa kimara na wamemwomba kutengeneza barabara, za mitaa yao kwa kuwa hazipitiki wakati wa mvua na kwa kuwa akipiga mwenyewe njia hizo amekubali ombi la wananchi hao na kuahidi kuifanya kazi ombi hilo ili kuondoa adha wanayoipata.
"Ni kweli njia hizi ni mbovu, nimelichukua hilo nitakutafuta na Meneja wa TARURA ili aweze kuweka mipango ya ujenzi wa barabara hizi poleni Sana wananchi. Amesema Jafo.
Hivyo makala BREAKING NEWS.......... JAFO AFANYA ZIARA MANISPAA YA UBUNGO, ATOA MAAGIZO MAZITO SOKO LA MABIBO.
yaani makala yote BREAKING NEWS.......... JAFO AFANYA ZIARA MANISPAA YA UBUNGO, ATOA MAAGIZO MAZITO SOKO LA MABIBO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWS.......... JAFO AFANYA ZIARA MANISPAA YA UBUNGO, ATOA MAAGIZO MAZITO SOKO LA MABIBO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/breaking-news-jafo-afanya-ziara.html
0 Response to "BREAKING NEWS.......... JAFO AFANYA ZIARA MANISPAA YA UBUNGO, ATOA MAAGIZO MAZITO SOKO LA MABIBO."
Post a Comment