BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA

BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA
kiungo : BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA

soma pia


BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA


Wanafunzi sita wa shule ya msingi Kihinga mkoani Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania wamefariki dunia na wengine zaidi ya 25 wamejeruhiwa baada ya kulipukiwa na bomu wakicheza.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Augustine Orom huo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na tayari wananchi wamejitokeza kuchangia damu kwa ajili ya kuwasaidia majeruhi.

Kwa mujibu wa Dokta Mariagoreth Fredrick ambaye ni mganga mkuu hosipitali ya Rurenge, amethibitisha kupokea miili hiyo na majeruhi ambao baadhi wako katika hali mbaya na tayari wanapatiwa matibabu.
"Tulionao hali ya sio nzuri. Wengine wameumia matumbo, wengine wamechanika bandama, wengine wamevunjika miguu, wengine vichwa vimepata majeraha, wengine wameumia macho." Dokta Mariagoreth ameiambia BBC.
Inaelezwa kwamba kabla ya kulipukiwa na kifaa hicho kinachoarifiwa kuwa ni bomu, wanafunzi hao walikuwa wanakichezea.


Hivyo makala BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA

yaani makala yote BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/bomu-laua-wanafunzi-sita-na-kujeruhi-25.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BOMU LAUA WANAFUNZI SITA NA KUJERUHI 25 KAGERA"

Post a Comment