title : Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani
kiungo : Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani
Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani
Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.
Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?
Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.
Asanteni kwa kunijibu bila kejeli
Hivyo makala Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani
yaani makala yote Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/wanaume-wananichukulia-tofauti-na.html
0 Response to "Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani"
Post a Comment