Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive

Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive
kiungo : Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive

soma pia


Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive

 Mkurugenzi Mtendaji wa Vision Investment Bw. Ally Nchahaga (katikati) akieleza jambo juu ya Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko kutoka Kampuni ya Bima ya Britam Insurance Bw. Oscar Ruhasha. Kulia ni Mkuu wa Mauzo na Masoko kutoka Kampuni ya Lake Oil Ltd, Bw. Aluwy Amar. Tamasha hilo litafanyika katika viwanja vya The Green Kenyatta Drive, Osterbay jijini Dar es Salaam kuanzia Oktoba 27 hadi 29 mwaka huu.  
 Mkuu wa Mauzo na Masoko kutoka Kampuni ya Lake Oil Ltd,  Aluwy Amar ambao ni wadhamini wa Tamasha la Magari Tanzania akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu bidhaa mbalimbali watakazokuwa nazo katika tamasha hilo leo jijini Dar es salaam. Kulia ni  Mkurugenzi Mtendaji wa Vision Investment Bw. Ally Nchahaga. Kushoto ni Meneja Maendeleo kutoka Kampuni ya Jan’s Group Bw. Abdul Wahab. Tamasha hilo litafanyika kuanzia Oktoba 27 hadi 29 mwaka huu katika viwanja vya The Green Kenyatta Drive, Osterbay.
Meneja Maendeleo kutoka Kampuni ya Jan’s Group, Abdul Wahab akieleza jambo juu ya Tamasha la Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Mauzo na Masoko kutoka Kampuni ya Lake Oil Ltd, Bw. Aluwy Amar. Tamasha hilo litafanyika katika viwanja vya The Green Kenyatta Drive, Osterbay jijini Dar es Salaam kuanzia Oktoba 27 hadi 29 mwaka huu.
(Picha na Thobias Robert- Maelezo) 


Hivyo makala Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive

yaani makala yote Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/tamasha-la-magari-kufanyika-oktoba-27.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Tamasha la magari kufanyika Oktoba 27 viwanja vya The Kenyatta Drive"

Post a Comment