title : TAIFA STARS ZAFUNGANA SARE YA 1-1 NA TIMU YA MALAWI,MECHI BADO INAENDELEA UWANJA WA UHURU
kiungo : TAIFA STARS ZAFUNGANA SARE YA 1-1 NA TIMU YA MALAWI,MECHI BADO INAENDELEA UWANJA WA UHURU
TAIFA STARS ZAFUNGANA SARE YA 1-1 NA TIMU YA MALAWI,MECHI BADO INAENDELEA UWANJA WA UHURU
Mmoja wa Wachezaji wa timu ya Tanzania (Taifa Stars) akimchomoko mchezaji wa timu ya Taifa ya Zambia,ambapo mpaka sasa kipindi cha pili timu hizo zimefungana sare ya 1-1 na mpira unaendelea katika uwanja wa Uhuru,jijini Dar.
Kikosi cha timu ya Taifa Stars
Waziri wa Habari,Utamaduni ,sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe akiikagua timu ya Taifa Stars kabla ya mchezo wa kirafiki wa Kimataifa dhidi ya timu ya Malawi kuanza jioni ya leo katika uwanja wa Uhuru,jijini Dar
Wimbo wa Taifa Ukipigwa
Kikosi cha timu ya Malawi.
Hivyo makala TAIFA STARS ZAFUNGANA SARE YA 1-1 NA TIMU YA MALAWI,MECHI BADO INAENDELEA UWANJA WA UHURU
yaani makala yote TAIFA STARS ZAFUNGANA SARE YA 1-1 NA TIMU YA MALAWI,MECHI BADO INAENDELEA UWANJA WA UHURU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TAIFA STARS ZAFUNGANA SARE YA 1-1 NA TIMU YA MALAWI,MECHI BADO INAENDELEA UWANJA WA UHURU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/taifa-stars-zafungana-sare-ya-1-1-na.html
0 Response to "TAIFA STARS ZAFUNGANA SARE YA 1-1 NA TIMU YA MALAWI,MECHI BADO INAENDELEA UWANJA WA UHURU"
Post a Comment