Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa

Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa
kiungo : Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa

soma pia


Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza mabadiliko madogo katika baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2017. Wakimsikiliza ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi pamoja na maafisa waandamizi wa Ofisi ya Rais. Picha na Ikulu

Rais John Magufuli amefanya mabadiliko ya baraza la mawaziri kwa kuwatema mawaziri wanne waliokuwepo kwenye baraza la awali.

Mawaziri walioachwa ni aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe na nafasi yake kuchukuliwa na Hamis Kigwangwala aliyekuwa Naibu Waziri Wizara ya Afya.

Mwingine aliyeachwa ni aliyekuwa Waziri Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Gerson Lwenge ambaye nafasi yake imechukuliwa na Mbunge wa Katavi, Mhandisi Issack Kamwele aliyekuwa naibu waziri wa wizara hiyo.

Panga hilo limempitia pia aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Annastazia Wambura ambaye nafasi yake imechukuliwa na Mbunge wa Viti Maalum CCM, Juliana Shonza.

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Ramo Makani naye ametupwa nje na nafasi yake kuchukuliwa na Mbunge wa Vwawa, Japhet Hasunga.

Hii ni mara ya kwanza kwa Rais Magufuli kufanya mabadiliko ya baraza lake la mawaziri tangu aingie madarakani.


Hivyo makala Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa

yaani makala yote Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/rais-magufuli-afanya-mabadiliko-baraza.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Rais Magufuli afanya mabadiliko baraza la Mawaziri . Mawaziri wanne watemwa"

Post a Comment