MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
kiungo : MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

soma pia


MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Pix 01
Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Abdallah Ngodu akitoa neno la utangulizi kwa wajumbe wa jumuiya hiyo (hawapo pichani) wakati wa jukwaa la mafunzo kwa wajumbe hao katika mkutano wa 33 wa jumuiya hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Pix 02
Mwanyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Gulamhafeez Mukadam akizungumza na wajumbe wa jumuiya hiyo (hawapo pichani) wakati akifungua jukwaa la mafunzo kwa wajumbe wa jumuiya hiyo katika mkutano wa 33 wa jumuiya hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Pix 03
Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mh. Isaya Mwita akisisitiza jambo kwa wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wakati wa jukwa la mafunzo kwa wajumbe hao katika mkutano mkutano wa 33 wa jumuiya hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Pix 04
Baadhi ya wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wakimsikiliza Mwanyekiti wa Jumuiya hiyo Gulamhafeez Mukadam (hayupo pichani) wakati akifungua jukwaa la mafunzo kwa wajumbe hao katika mkutano wa 33 wa jumuiya hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Pix 05
Wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wakimsikiliza Mwanyekiti wa Jumuiya hiyo Gulamhafeez Mukadam wakati akifungua jukwaa la mafunzo kwa wajumbe hao katika mkutano wa 33 wa jumuiya hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Eliphace Marwa – Maelezo


Hivyo makala MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

yaani makala yote MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/mkutano-wa-33-wa-jumuiya-ya-tawala-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUTANO WA 33 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) WAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM"

Post a Comment